Averos
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 993
- 695
Sasa wewe kama umezaliwa kusifia sio mimi! Na usitumie TU tumia NI! Kama plan A inawezekana kwa nini ukimbilie plan Z? Hapo ndo natofautiana nao.
Hata wao wanatofautiana na wewe! Kwa kuwa Plan Z kwako is plan A for them! What matters is not a plan series is the Best plan! Mie sikuzaliwa kukashifu!