Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
Kama elimu ya UDJ na Form 4 ya Mbowe inawanyima usingizi CCM kiasi hiki, basi Mbowe hahitaji kuwa na elimu ya form6 wala chuo kikuu, wala Udaktari kama wa Kikwete!