Juliana Shonza amlipua Mbowe

Hajui kuwa Mh Mbowe elimu yake imemuwezesha kuwa na utajiri na kufanya biashara kubwa. Ifikie hatua watanzania tuache ubabaishaji wa kudhania kuwa hata kama una PhD lakini maskini wewe ni higher class citizen than mtu wa darasa la saba mwenye biashara ya mabilioni

Juliana Shonza ni maskini anayetegemea kujipendekeza apewe posho na chama kuendesha maisha yake, anapojifanya yeye ni bora kuliko Mbowe anayemiliki biashara za mabilioni eti kwa kuwa ana ka-degree ka sociology ni upofu wa hali ya juu amaboa watanzania tuukatae. Mtu aheshimike kwa mchango wake kwa jamii. Biashara za Mbowe zimeajiri watanzania kibao na kikubwa ni kuwa Mbowe ame- exceed expectation za kuiongoza CHADEMA hadi sasa CCM hawalali.

Hizi ajenda za elimu walizozipeleka CCM hawa watoto masalia zitawarudi tu CCM wenyewe kwa sababu licha ya serikali ya CCM kuwa na maprofesa kibao imefelisha watoto 240,000 kwa kupata sifuri mtihani wa kidato cha nne
 
Hana Data, anasema kiongozi wa upinzani tu wakati tunao marais SADC hawajasoma hata chekechea!

Jacob Zuma Rais wa Afrika Kusini hajasoma hata darasa moja. Kwa kumsaidia Juliana Shonza Asome hapa chini:

Zuma was born in Nkandla, Zululand (now part of the province of KwaZulu-Natal).[SUP][14][/SUP] His father was a policeman who died when Zuma was young, and his mother a domestic worker.[SUP][15][/SUP] He received no formal schooling.[SUP][16][/SUP] As a child, Zuma constantly moved between Zululand and the suburbs of Durban in the area of Umkhumbane (near Chesterville).[SUP][17][/SUP] He has two brothers, Michael and Joseph
 
Last edited by a moderator:
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

Haka kabinti kaongo sana.....huyu hapa mpinzani wa Zimbabwe

Morgan Richard Tsvangirai ( born 10 March 1952) is the Prime Minister of Zimbabwe. He is President of the Movement for Democratic Change - Tsvangirai (MDC-T) and a key figure in the opposition to President Robert Mugabe.

Tsvangirai was born in the Gutu area in then-Southern Rhodesia, the eldest of nine children and the son of a carpenter and bricklayer. After leaving school early, in 1974 he started working for the Trojan Nickel Mine in Mashonaland Central. He spent ten years at the mine, rising from plant operator to plant supervisor. His current rural home is Buhera, which is 220 km south east of Harare.


Tsvangirai married his first wife, Susan, in 1978. The couple had six children during their 31-year marriage, which ended with her death in the 2009 car crash. He has an illegitimate child. He married his second wife, Elizabeth Macheka, on 15 September 2011
 
Mzee Kawawa alikuwa na elimu gani wakati wa utawala wake? Au Shonza alikuwa bado hajazaliwa!

Aliyekuwa mkuu wa wa Mkoa Iringa Dr. Kleruu pamoja na ukakitari wake na kusomelea hadi nywele kuondoka na kubakiwa za kuwekea miwani karibu na masikioni tu elimu yake haikumsaidia bali kunyanyasa wakulima wa Isimani.

Aliyemridhi Ukuu wa Mkoa Mohamed Kisoki alikuwa na elimu ya darasa la nne na alimudu kazi yake hadi mkoa wa Iringa kutengamaa.

Hivi Jomo Kenyata wa Kenya alikuwa na elimu gani?

NB: Juliana Shonza na Mbowe kwa ulinganifu:
Juliana ni sawa na tone la maji ndani ya bahari
 
Haka kabinti kaongo sana.....huyu hapa mpinzani wa Zimbabwe

Morgan Richard Tsvangirai ( born 10 March 1952) is the Prime Minister of Zimbabwe. He is President of the Movement for Democratic Change - Tsvangirai (MDC-T) and a key figure in the opposition to President Robert Mugabe.

Tsvangirai was born in the Gutu area in then-Southern Rhodesia, the eldest of nine children and the son of a carpenter and bricklayer. After leaving school early, in 1974 he started working for the Trojan Nickel Mine in Mashonaland Central. He spent ten years at the mine, rising from plant operator to plant supervisor. His current rural home is Buhera, which is 220 km south east of Harare.


Tsvangirai married his first wife, Susan, in 1978. The couple had six children during their 31-year marriage, which ended with her death in the 2009 car crash. He has an illegitimate child. He married his second wife, Elizabeth Macheka, on 15 September 2011
kana muda wa kujisomea?
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
Huyu ni mwehu. Ikiwa Mbowe ana taaluma ya UDJ je na wale wenye taaluma ya kucheza didco jukwaani na kwenye mikutano ya hadhara ni nani mjanja? Anayepigisha disco au anayepigishwa disco akacheza hata pasipo na kumbi?
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

Masalia Shonza ana akili inayomtosha kwenda UANI tu!


Leo tumeona rejoinder ya RitzOne na shutuma za Nape kuhusu Elimu ya JJ Mnyika; inaonyesha Ritz kaelewa tofauti kati ya "Elimu vyeti" na Karama ya uongozi.


Mwambieni Masalia Shonza asome thread ya Ritz kuhusu maelezo ya JJM au awasiliane naye kabla hajamvaa Kamanda Mbowe kuhusu elimu.

Shonza sio saizi ya Mbowe; akae nae mbali aendelee kutumika kama dodoki la Nape.
 
Na Elimu ya Kikwete ya Udaktari ina faida gani kwa Tanzania?....au kuchomeka kwa makanisa ndiyo ufanisi?

jk HANA ELIMU YA UDAKTARI BALI HESHIMA YA UDAKTARI
NA JULIANA ANATUMIKA KAMA MALAYA, KUMSIFIA KILA BWANA ANAYEMDU
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

224892_102121916628743_1899781345_n.jpg


Huyu Binti tunamsitiri tu.

Angalia picha hiyo hapo juu ndio maisha yake ya kila siku, Niambie mtu kama huyu unaweza kumlinganisha nani? Angalia mazingira ya picha hiyo yanayomzunguka, na huko anakozunguka kutoa kauli anatumika hivyo.

Viongozi wa CHADAEMA anaowasema hawako wa mazingira kama hayo ndio maana aliwasema vibaya isipokuwa mmoja tu. Labda huyo mmoja alijaribu kumridhia.
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

Nafikiri ni ujinga kulinganisha uongozi wa siasa na academic posts, kwenye siasa hatutafuti wahadhiri bali watunga sera wanaofuata ushauri wa technocrats.....! Anadanganya kuhusu SADC, je anajua President Zuma ana elimu gani ya darasani?
 
Ahsante sana kwa taarifa mkuu. Kama alipata credits tatu (3) akajiendeleze.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

dada Saumu huyu binti mwenzako atawalisha matango pori mwaka huu mtahaibika.
Muwe mnafanya research kabla hamjapanda kwenye majukwaa yenu ya taarabu.
Alafu tumeshawagundua kuwa mmeanzisha style flani ya mipasho ili mtutoe kwenye mada za msingi zinazogusa matatizo ya wananchi.
Ninakuhakikishia hatutapoteza hata dakika wala hatutatoka kwenye track kwa hizi siasa za maji ya chooni.
Karibu lunch dada saumu.
 
Benjamin Franklin
Benjamin Franklin wore many hats: politician, diplomat, author, printer, publisher, scientist, inventor, founding father, and coauthor and cosigner of the Declaration of Independence. One thing he was not was a high school graduate. Franklin was the fifteenth child and youngest son in a family of 20. He spent two years at the Boston Latin School before dropping out at age ten and going to work for his father, and then his brother, as a printer.
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

Nimeshawaambia mwacheni huyo mama. Uelewa wake ni mdogo sana. Mnamvimbisha bichwa. Mwambieni afanye utafiti kabla ya kubwabwaja. Let her follow the history of these American Presidents who Did not graduate from college


 
hawa Shonza na masalia wote wanaendeza propaganda za kudharau elimu za watu+Nape, Ridhiwani. Hawafai katika jamii, kama wao walikuwa na uwezo wa kwenda shule sio wote. Inabidi wananchi wajulishwe kwamba watu wa elimu ndogo wanadharauliwa na CCM.
 
Unashangaa ya Mbowe! ulizia elimu ya Rais Zuma wa africa kusini ndiyo utapata jibu

Labda Afrika Kusini haiko SADC........

Zuma was born in Nkandla, Zululand (now part of the province of KwaZulu-Natal). His father was a policeman who died when Zuma was young, and his mother a domestic worker.He received no formal schooling. As a child, Zuma constantly moved between Zululand and the suburbs of Durban in the area of Umkhumbane (near Chesterville).
 
Back
Top Bottom