Juliana Shonza amlipua Mbowe

Benjamin Franklin
Benjamin Franklin wore many hats: politician, diplomat, author, printer, publisher, scientist, inventor, founding father, and coauthor and cosigner of the Declaration of Independence. One thing he was not was a high school graduate. Franklin was the fifteenth child and youngest son in a family of 20. He spent two years at the Boston Latin School before dropping out at age ten and going to work for his father, and then his brother, as a printer.
 
SWALI moja niulize,huko ccm hakuna sera ya maendeleo ya kuhubiri zaidi ya CDM? Nchi sasa ipo ktk hatari kubwa ya kutumbukia ktk machafuko ya UDINI wao wana poteza muda kuhubiri vitu ambavyo havitusaidii sisi kama wananchi.Jana ilikua mwampamba na dr.Slaa,leo juliana na Mbowe,hii ndo kazi iliyowapeleka ccm kwa mbwembwe?kwa hali hii kwa mwananchi mwenye akili bado tutegemee maendeleo kutoka kwa viongozi wa CCM? wanafunzi wanafeli kwa kiwango cha kutisha,badala ya kutafuta namna ya kuwasaidia watoto hawa wanaoingi mtaani bila elimu,wao wamekazana na kuhoji elimu ya Mnyika,mara Mbowe,mra baba mzazi Slaa.,vinatusaidiaje sisi wananchi? Shame on them!
 
Elimu, elimu elimu......nyambafu, hivi hao wanaohoji elimu za watu makini wanatambua maana ya elimu?
Wajiulize, wao za kwao wamezifanyia nini?
Huwa najiuliza sana kuhusu huyo Juliana Suguta (Maana jina la Suguta analipenda sana kulitaja, mara nyingi zaidi wakati wa kuoga na akiwa amelala), huwa najiuliza ni kwa nini anaidharirisha elimu kiasi hiki, kukaa kwake kote University akili haija adopt kitu si namna ya kulalamika , kuongea , wala kusikiliza. the Kawambwaz (The unlucky form fours) are much more better in that area than her.
 
Hahaha! Binti anajazba baada ya kutimuliwa CDM kama mbwa mwizi.
Nashukuru Mungu mmesadiki kuwa Dr. Slaa ndiyo rais ajaye.

NB:
CONDOM moja ni kwa kila tendo moja tu, sasa baada ya tendo hili matumizi yenu yatakuwa yameisha na tutawamis sana wasaliti.
Tena mbwa mwizi kichaa.
 
So what?
Andry Nirina Rajoelina born 30 May 1974, is the President of the High Transitional Authority of Madagascar. He became president on 21 March 2009 during a political crisis, having held the office of Mayor of Antananarivo for one year prior. Before entering the political arena, Rajoelina launched several successful enterprises, most notably including a printing and advertising company called Injet in 1999 and the Viva radio and television networks in 2007. He began his career as an entrepreneur in his teenage years, first as a DJ at local clubs and parties, and later by organizing and promoting musical events in the capital.
 
ningemwona wa maana angeambatanisha Elimu yake na uwezo wa kazi aliyopema. kwamba kwa kuwa na elimu ya form four ameshindwa hili na hili. angekuwa na degree kama ya juliana angefanikiwa hli na lile. mapema hv hana cha kuongea keshokutwa ataongea nini? au kuna siku atakuja kukiri kwa mwenyekiti wa CDM kwamba nilipotea njia, nililishwa maneno na Nape nikuseme bila kujua kuwa nimekosea njia. hyo itakuwa 2016
 
Sijui hawa wana elimu gani!

sumit.jpg
 
Huyu Juliana naona yuko mwezini......CCM mpaka sasa hawajampa hela ya pedi naona kaamua kuropoka haonekane apewe hela ya pedi...Mama imekula kwako na suburi miezi ijayo utakoma
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
Muenezi wake ana elimu gani?
 
Andry Nirina Rajoelina born 30 May 1974, is the President of the High Transitional Authority of Madagascar. He became president on 21 March 2009 during a political crisis, having held the office of Mayor of Antananarivo for one year prior. Before entering the political arena, Rajoelina launched several successful enterprises, most notably including a printing and advertising company called Injet in 1999 and the Viva radio and television networks in 2007. He began his career as an entrepreneur in his teenage years, first as a DJ at local clubs and parties, and later by organizing and promoting musical events in the capital.


ina maana mtu akikuambia fulani kaua. na wewe unamuambia mbona fulani naye aliwahi kuua. kwanza thibitisha au kanusha madai ya kwamba fulani kaua. kaua kweli? siyo kutoa mfano kuwa mbona flani nae aliua juzi. tutumie ubongo kuliko kufuata matakwa ya nafsi zetu
 
Back
Top Bottom