chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Joshua has a good focus
naona kama Madame Halima ana kapete kakurembeshea mambo kidoleni au ni geresha mapambo? Dogo janja atakuwa kama Dr Love Pimbi itabidi avae viatu virefu halafu HM avae flat shoes.Wakicheza blues dogo janja atakuwa anakamata nyonga bibie anabamba mabenga. Je pair imekubali? Kwa rangi sina shaka, elimu pia sina matatizo. Ushauri wa bure dogo janja akaoane na ama Esther Bulaya au mdogo wake Zitto Kabwe(muhonga ??) tutengeneze royal family fulani hivi. MANENO YANAUMBA MSIFANYE MZAHA.bulaya anampenda sana dogojanja. fanyeni uchunguzi bunge litakapoanza tarehe 10 next week after easter.Watu hawatokeani kwenye mikutano ya kampeni, hiyo ilikuwa changamsha genge. Ule ulikuwa uwanja wa mapambano na sio mapenzi.
Halima mkubwa sana kwa huyu mtoto lol
ila makubaliano yao wenyewe, yetu macho!
Halima ana 33 wakatihivi Halima na Joshua..sio kama Halima Mkubwa sana?
she's committed to some one..she will never marry huyo mngaleloo!!
naona kama Madame Halima ana kapete kakurembeshea mambo kidoleni au ni geresha mapambo? Dogo janja atakuwa kama Dr Love Pimbi itabidi avae viatu virefu halafu HM avae flat shoes.Wakicheza blues dogo janja atakuwa anakamata nyonga bibie anabamba mabenga. Je pair imekubali? Kwa rangi sina shaka, elimu pia sina matatizo. Ushauri wa bure dogo janja akaoane na ama Esther Bulaya au mdogo wake Zitto Kabwe(muhonga ??) tutengeneze royal family fulani hivi. MANENO YANAUMBA MSIFANYE MZAHA.bulaya anampenda sana dogojanja. fanyeni uchunguzi bunge litakapoanza tarehe 10 next week after easter.