Lowassa hawezi kukubali
lazima mwanae Pamela awe na mume mbunge
right now Siyoi atapigwa kibuti...Nassari atakabidhiwa Pamela...
hivi Halima na Joshua..sio kama Halima Mkubwa sana?
Sidhani kama sababu ya kutangaza ilikuwa ni kushambuliwa, (why do we always see evil instead of good) naamini ni upendo ndio umepelekea hilo (kama ni kweli), after all its non of anyone's business so long as wanatumikia wananchi personal issues za mtu hazimuhusu yoyote zaidi ya mtu mwenyeweAlipoona anashambuliwa sana na wapinzani wake juu ya useja wake katika kampeni hizo, Nassari hatimaye alitangaza kumwoa Mdee ambaye pia hajaolewa.