trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Tuna changamoto nyingi sana zinazotukabili. Sidhani kama vazi la taifa nikapaumbele kwasasa.
Kwa wizara ya Nchimbi hicho ni kipaumbele.. Na akifanikisha,atakuwa na cha kujivunia siku za usoni. Maana ni Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo.