Swali zuriHili vazi linatafutwa miaka mingapi na lina faida gani?
Kumziba mdomo wasichorwe vikaragosi na kumtengenezea teuzi nyingine.Kumuweka masoud kipanya nadhani Jambo kubwa zuri linakuja
Ingawa hata majina hayo mengine yote NI mazito kazi zao zinaeleweka..
Naomba wasisahau kuhusisha Tehama...means idea zitoke kwa wote na zipigiwe kura baadhi selected Kisha mchakato uende hivyo kupunguza malalamiko wabongo ai wanafahamika.
Maneno mengi kazi Kidogo
Akili nyingiWaziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo ateua kamati maalum kwa ajili ya kuratibu upatikanaji wa vazi la taifa.
Zaidi soma:
View attachment 2298155
Magufuli hakushughulika na hiyo kitu. Nakumbuka ilivuma sana enzi za JK. Nahisi viongozi wakikosa kazi za kufanya washauri wao wa pembeni wanawaambia we fanya hivi ili mradi usikike kwa aliyekuteua.Hili vazi toka kipindi cha Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa Samia bado halijapatikana tu?
Hivi hilo vazi linatafutwa au linabuniwa?
Lina faida gani kwa taifa?
Litawezaje kukubalika kitaifa?
Kwa maoni yangu hilo jambo lilipaswa litokee automatically kutokea kwenye jamii na serikali inalifanya kuwa kitu rasmi.
Yapo mambo mengi sana kwenye taifa yetu yaliibuka automatically tu na mwisho serikali ikatafuta namna ya kuyarasmisha. Kwa mfano;
Baba wa taifa (Nyerere)
Lugha ya taifa (Kiswahili)
Chifu wa KeWaziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo ateua kamati maalum kwa ajili ya kuratibu upatikanaji wa vazi la taifa.
Zaidi soma:
View attachment 2298155
My opinion: Kwa vile hii sii mara ya kwanza kuundwa kwa kamati ya vazi la taifa, kabla ya kuundwa kwa kamati hii, kulitakiwa kufanyike mambo makuu matatuWaziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo ateua kamati maalum kwa ajili ya kuratibu upatikanaji wa vazi la taifa.
Zaidi soma:
View attachment 2298155