Vazi la Taifa maana yake nini hasa?na je linatachukua sura ipi,maana makabila ni zaidi ya 120,je litachukua suta ya lugha ya kiswahili inayotuunganisha sote au litakuwaje kwanza,na je kuna haja ya kupoteza rasilimali zetu kwa jambo hilo sasa?hivi kudumisha mila na tamaduni zetu na kubuni vazi hili zikoje?na hata hivyo vazi hili litabuniwa au kuchaguliwa kwa vigezo vipi maana naona sura nyingi zilizoko kwenye kamati hiyo ni pamoja na za bongo fleva.wizi mtupu,