Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,502
- 9,280
Mchakato wa kutafuta vazi la Taifa ulianza Mwaka 2004 ambapo kuliundwa Kamati Maalum na aliyekuwa Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo wakati huo, Dkt. Emmanuel Nchimbi
Julai 2022, iliundwa Kamati mpya ya kusaka vazi la Taifa ambapo ilielezwa ingeendelea ilipoishia Kamati ya awali iliyoundwa Mwaka 2014
Hata hivyo, kumekuwa na Sintofahamu nyingi kuhusu Kamati hizi ambazo hutumia Fedha za Serikali kwenye kazi hiyo huku mchakato ukiishia njiani kila wakati
Julai 2022, iliundwa Kamati mpya ya kusaka vazi la Taifa ambapo ilielezwa ingeendelea ilipoishia Kamati ya awali iliyoundwa Mwaka 2014
Hata hivyo, kumekuwa na Sintofahamu nyingi kuhusu Kamati hizi ambazo hutumia Fedha za Serikali kwenye kazi hiyo huku mchakato ukiishia njiani kila wakati