Shalom
JF-Expert Member
- Jun 17, 2007
- 1,315
- 124
shalom,
Ndiyo nililipiwa kwa kuwa sikuwa ma uwezo..ila kupewa pesa siyo kosa ziwe za kifisadi ama la...unajuaje pesa ulizosomeshewa na baba yako hazijatokana na Rushwa?
ila nililipiwa na nani?hapo ndipo haujui kabisa....ona unavyopotea,leta ushahidi
siyo hoja..Shaloom na wewe umo kwenye Payroll..Mie nadhani zinachangiwa sana na umasikini wa watanzania...yaani unakuta mzee mzima kama slava anaanza kulia lia apewe fadhila..yaani it totally ashame..
Ukiangalia kabisa ,maneno ya Rostam na Mengi na maelezo yao yote yametoka humu humu JF..
kuna mtu alikuja kuwasaidia ku-compile mambo...Bila JF hakuna kitu
Ndugu Gembe (kamanda wa kutetea mafisadi)
Mimi nimesoma bure mwanzo mwisho siipendi sana hii kwa sababu mimi siyo mjamaa ila sasa nifanyaje
Nina uhakika baba yangu hakuwa fisadi kwani maisha tuliyishi yalikuwa ya furaha lakini ya kawaida ya kuringana kabisa na kipato chake. nakumbuka kabisa njisi majirani wetu wote miaka hiyo walivyokuwa na video na baba yangu akiwa na cheo kuliko wao lakini hakuweza kuafford. sijui hao wengine walizipataje lakini hiyo ni moja tu ya mambo mengi yalionifanya nijue kuwa hatukuishi kwa fedha ya kifisadi. Wewe kama baba yako alionja fedha za kifisadi ndiyo maana amekuachia laana na wewe ya kuopenda ufisadi
Mimi kumtetea mengi akinilipa atakuwa chizi kwani haitaji kufanya hivyo kwani hata asiponilipa nitamtetea. Kwa hiyo kuwa kwenye payroll itakuwa kwangu ni bonus. Na sigopi kujulikana kuwa namtetea mengi hata kidogo maadamu najua kuwa yuko sahihi
Wewe na salve mna tofauti gani wote ni vibaraka wa ufisadi, wote mnalialia ovyo alafu unakuja kumgeuka mwenzio du! nyie mafisadi kwa kugeukana bwana!
Hongera kwa kukiri kuwa umesomeshwa na fisadi na kwa taarifa yako mimi sitaki kujua kama ni nani au alikupa fedha ya currency gani na kwa njia ipi mimi nilichotaka kujua ni dhana nzima ya kuwa wewe umelambishwa fedha za kifisadi.
Unaitajikuombewa kutoa hiyo laana!