Experience yangu JF katika kutafuta huba la moyo wangu 😘😘😘

Unique Flower

JF-Expert Member
Apr 19, 2019
12,714
24,891
Wajanja wa mji hoyee,

Nadhani kila mmoja wenu yupo sawa na mambo yake, .
Mnamo 2019 nilianza kutafuta mwenzi wa maisha yangu waswahili wanasema huba la moyo .

Nilipata mwanaume sio single ila alitaka niwe mke 2 nikaona hapana na ndio mwisho wa mawasiliano pale nilipokataa.

Wakaendelea kuja wengi tu ila nikuchart inbox pekee au wtsupp.
Walitokea watu kadhaa ila kila anayekuja anakisanga chake.

Kuna wanaoomba vocha , hela ya kula na mengine mengi . Ikiwemo umfanyie mtu shopping za hapa na pale . Mtu unamwambua sina pesa nashida ila u akuta hawajali wanasema tu naomba hili au lile Ili hali na waeleza mie natafuta kazi . Maisha yaliendelea mpaka 2021 nikapata mlokole nilimshukuru Mungu kweli kwa yote . Eti kuna alilonionekania sasa mie nilijiona wapekee kumbe nipo kichakani na gizani.

Jingine ni hili eti mtu ukiongea naye mchana ijioni unaota , upo kwenye kanisa la ajabu , . Lakilokole kuna kwaya mimbara na waumini sasa nikaona mie ndio kama sadaka .

Mwanzo nilidhani ndoto ila nilipowashirikisha marafiki wakanitatulia natukaja jua kuwa huyu kaka ni freemanson tokea ni mgundue akawa anavisa sana . Hataki niwe naye tena . Ikawa ndio kwisha.


Mwingine alimdanganya hadi bi mkubwa kuwa atakuja nyumbani kuongea naye kuhusu sisi kuishi pamoja . Alikuwa jamaa liongo hilo mpaka nikamzoea nilifiti nilimbwa. Aliniabisha kweli nilimpenda naye ila huyo hakujua anachart na unique flower . Ndio ilipotimia 2022 ndio nikaona mmh nikajaribu nje.

Ya hapa. Ila humu sasa kuna watu wanaojiona wanaweza sasa kuweza kwenyewe
Kuharibia watu humu . Ili wasisaidiwe hawajui hatunashida na misaada mimi sio mpalestina na mshukuru Mungu kwa yote . Anayenipa uhai na ananipenda. Hii inatosha
 
20231125_110735.jpg
 
Wajanja wa mji hoyee,

Nadhani kila mmoja wenu yupo sawa na mambo yake, .
Mnamo 2019 nilianza kutafuta mwenzi wa maisha yangu waswahili wanasema huba la moyo .

Nilipata mwanaume sio single ila alitaka niwe mke 2 nikaona hapana na ndio mwisho wa mawasiliano pale nilipokataa.

Wakaendelea kuja wengi tu ila nikuchart inbox pekee au wtsupp.
Walitokea watu kadhaa ila kila anayekuja anakisanga chake.

Kuna wanaoomba vocha , hela ya kula na mengine mengi . Ikiwemo umfanyie mtu shopping za hapa na pale . Mtu unamwambua sina pesa nashida ila u akuta hawajali wanasema tu naomba hili au lile Ili hali na waeleza mie natafuta kazi . Maisha yaliendelea mpaka 2021 nikapata mlokole nilimshukuru Mungu kweli kwa yote . Eti kuna alilonionekania sasa mie nilijiona wapekee kumbe nipo kichakani na gizani.

Jingine ni hili eti mtu ukiongea naye mchana ijioni unaota , upo kwenye kanisa la ajabu , . Lakilokole kuna kwaya mimbara na waumini sasa nikaona mie ndio kama sadaka .

Mwanzo nilidhani ndoto ila nilipowashirikisha marafiki wakanitatulia natukaja jua kuwa huyu kaka ni freemanson tokea ni mgundue akawa anavisa sana . Hataki niwe naye tena . Ikawa ndio kwisha.


Mwingine alimdanganya hadi bi mkubwa kuwa atakuja nyumbani kuongea naye kuhusu sisi kuishi pamoja . Alikuwa jamaa liongo hilo mpaka nikamzoea nilifiti nilimbwa. Aliniabisha kweli nilimpenda naye ila huyo hakujua anachart na unique flower . Ndio ilipotimia 2022 ndio nikaona mmh nikajaribu nje.

Ya hapa. Ila humu sasa kuna watu wanaojiona wanaweza sasa kuweza kwenyewe
Kuharibia watu humu . Ili wasisaidiwe hawajui hatunashida na misaada mimi sio mpalestina na mshukuru Mungu kwa yote . Anayenipa uhai na ananipenda. Hii inatosha.
Kumekucha....

Ila ya huko PM na kwingineko jitahidi yabakie huko huko. Kuyaleta hapa public hakuna faida yo yote sis mbali na kufurahisha baraza na makundi sogozi ya humu.

Ila inaonekana umeanza kukua sasa. Songa mbele mpaka umpate yule uliyeandikiwa na Mungu wako 🙏🏿
 
Kumekucha....

Ila ya huko PM na kwingineko jitahidi yabakie huko huko. Kuyaleta hapa public hakuna faida yo yote sis mbali na kufurahisha baraza na makundi sogozi ya humu.

Ila inaonekana umeanza kukua sasa. Songa mbele mpaka umpate yule uliyeandikiwa na Mungu wako 🙏🏿
Nimeanza kukua 🤣🤣🤣🤣 sawa bhana
 
Mimi nafikiri nimebahatika, wa kwangu nilifahamiana nae tokea 2014 baadae mambo yakakorogeka hapo katikati ila nilimrudia na mambo ni mazuri sana.

Naweza kusema kwa uhakika ndio mwanaume bora kupata kutokea ktk maisha yangu.
So yeah, wanaume bora hata hapa JF wapo pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom