Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,891
Wajanja wa mji hoyee,
Nadhani kila mmoja wenu yupo sawa na mambo yake, .
Mnamo 2019 nilianza kutafuta mwenzi wa maisha yangu waswahili wanasema huba la moyo .
Nilipata mwanaume sio single ila alitaka niwe mke 2 nikaona hapana na ndio mwisho wa mawasiliano pale nilipokataa.
Wakaendelea kuja wengi tu ila nikuchart inbox pekee au wtsupp.
Walitokea watu kadhaa ila kila anayekuja anakisanga chake.
Kuna wanaoomba vocha , hela ya kula na mengine mengi . Ikiwemo umfanyie mtu shopping za hapa na pale . Mtu unamwambua sina pesa nashida ila u akuta hawajali wanasema tu naomba hili au lile Ili hali na waeleza mie natafuta kazi . Maisha yaliendelea mpaka 2021 nikapata mlokole nilimshukuru Mungu kweli kwa yote . Eti kuna alilonionekania sasa mie nilijiona wapekee kumbe nipo kichakani na gizani.
Jingine ni hili eti mtu ukiongea naye mchana ijioni unaota , upo kwenye kanisa la ajabu , . Lakilokole kuna kwaya mimbara na waumini sasa nikaona mie ndio kama sadaka .
Mwanzo nilidhani ndoto ila nilipowashirikisha marafiki wakanitatulia natukaja jua kuwa huyu kaka ni freemanson tokea ni mgundue akawa anavisa sana . Hataki niwe naye tena . Ikawa ndio kwisha.
Mwingine alimdanganya hadi bi mkubwa kuwa atakuja nyumbani kuongea naye kuhusu sisi kuishi pamoja . Alikuwa jamaa liongo hilo mpaka nikamzoea nilifiti nilimbwa. Aliniabisha kweli nilimpenda naye ila huyo hakujua anachart na unique flower . Ndio ilipotimia 2022 ndio nikaona mmh nikajaribu nje.
Ya hapa. Ila humu sasa kuna watu wanaojiona wanaweza sasa kuweza kwenyewe
Kuharibia watu humu . Ili wasisaidiwe hawajui hatunashida na misaada mimi sio mpalestina na mshukuru Mungu kwa yote . Anayenipa uhai na ananipenda. Hii inatosha
Nadhani kila mmoja wenu yupo sawa na mambo yake, .
Mnamo 2019 nilianza kutafuta mwenzi wa maisha yangu waswahili wanasema huba la moyo .
Nilipata mwanaume sio single ila alitaka niwe mke 2 nikaona hapana na ndio mwisho wa mawasiliano pale nilipokataa.
Wakaendelea kuja wengi tu ila nikuchart inbox pekee au wtsupp.
Walitokea watu kadhaa ila kila anayekuja anakisanga chake.
Kuna wanaoomba vocha , hela ya kula na mengine mengi . Ikiwemo umfanyie mtu shopping za hapa na pale . Mtu unamwambua sina pesa nashida ila u akuta hawajali wanasema tu naomba hili au lile Ili hali na waeleza mie natafuta kazi . Maisha yaliendelea mpaka 2021 nikapata mlokole nilimshukuru Mungu kweli kwa yote . Eti kuna alilonionekania sasa mie nilijiona wapekee kumbe nipo kichakani na gizani.
Jingine ni hili eti mtu ukiongea naye mchana ijioni unaota , upo kwenye kanisa la ajabu , . Lakilokole kuna kwaya mimbara na waumini sasa nikaona mie ndio kama sadaka .
Mwanzo nilidhani ndoto ila nilipowashirikisha marafiki wakanitatulia natukaja jua kuwa huyu kaka ni freemanson tokea ni mgundue akawa anavisa sana . Hataki niwe naye tena . Ikawa ndio kwisha.
Mwingine alimdanganya hadi bi mkubwa kuwa atakuja nyumbani kuongea naye kuhusu sisi kuishi pamoja . Alikuwa jamaa liongo hilo mpaka nikamzoea nilifiti nilimbwa. Aliniabisha kweli nilimpenda naye ila huyo hakujua anachart na unique flower . Ndio ilipotimia 2022 ndio nikaona mmh nikajaribu nje.
Ya hapa. Ila humu sasa kuna watu wanaojiona wanaweza sasa kuweza kwenyewe
Kuharibia watu humu . Ili wasisaidiwe hawajui hatunashida na misaada mimi sio mpalestina na mshukuru Mungu kwa yote . Anayenipa uhai na ananipenda. Hii inatosha