Je Ni Avatar Gani unayoipenda JF?

Nazikubali nyingi sana, kuzitaja haitoshi.
Binafsi hizi Avartar ndio zinanifanya niwe na naifikiria sana JF.
Ila kwa kuzitaja chache ni ya Asha D na Invisible.
Nadhani ya Asha D naipenda sana sababu ile Movie ya "Avatar" niliipenda sana, afu nilitokea kuvipenda vile viumbe!
Invisible, bado namtafakari huyu mtu.... ananivutia sana.
 
Habari za asubuhi Wadau?
Leo Nimeona Tujadili Kuhusu Avatar,Ukiacha Avatar Yako mwenyewe uliyoiweka ni Avatar ipi nyingine unaipenda,Na sababu gani Kama kuna sababu,manake Avatar nyingine unaweza kuipenda hata kama huna sababu,mimi binafsi nilikua naipenda sana Avatar Ya Nguli ile ya zamani inamuonyesha Sharobaro mmoja hv Kavaa macheni,pete na Jersey ya Chicago Bulls......Je wewe unapenda Ipi? Nawasilisha wadau...

Mkubwa nashukuru kwa kupenda avatar yangu ya zamani ile ilikuwa ya John Cena wa WWE niliitoa baada ya umri kusogea kidogo siunajua mieleka inapendwa na matineja? Anyway siku hizi niko via mobile nikiwa kwenye computer nitairudisha mzee. Kwa sasa nasikitika siwezi kuona za wengi kwa vile strictly via mobile.
 
Nazikubali nyingi sana, kuzitaja haitoshi.
Binafsi hizi Avartar ndio zinanifanya niwe na naifikiria sana JF.
Ila kwa kuzitaja chache ni ya Asha D na Invisible.
Nadhani ya Asha D naipenda sana sababu ile Movie ya "Avatar" niliipenda sana, afu nilitokea kuvipenda vile viumbe!
Invisible, bado namtafakari huyu mtu.... ananivutia sana.

Haloooooooowwwww! Ya Asha D inatisha, dah ile avatar imekaakaa kuogopeshaogopesha!
 
Avatar ninayoihusudu ni hii ya mheshimiwa Katavi. Yale macho, masikio na ile tabasamu huniacha hoi! Kama Avatar huwa zina expire, mheshimiwa Katavi ya kwako isiwe na expiry date.:dance:
 
Bacha
avatar25406_1.gif

Fellixonfellix
avatar21670_1.gif
 
Avatar ya Katavi inanipaga smile hasa nikiangalia vimashavu,mdomo,na vinywele....lol
 
Back
Top Bottom