<br />Ya Dena Amsi ndio inanivutia
Nazikubali nyingi sana, kuzitaja haitoshi.
Binafsi hizi Avartar ndio zinanifanya niwe na naifikiria sana JF.
Ila kwa kuzitaja chache ni ya Asha D na Invisible.
Nadhani ya Asha D naipenda sana sababu ile Movie ya "Avatar" niliipenda sana, afu nilitokea kuvipenda vile viumbe!
Invisible, bado namtafakari huyu mtu.... ananivutia sana.
Haloooooooowwwww! Ya Asha D inatisha, dah ile avatar imekaakaa kuogopeshaogopesha!
Dah! jG nimesikitika kua naona hii post baada ya kubadilisha.... Thank you man....
Mwenyewe nimesikitika sana....
Dah sijui uirudishe tuuu lol........
Kama kuna mtu ameandika ya Cheusimangala tuko pamoja.
Dah!!
mie avatar ya Preta!
Lol.
ushacheki yangu?
Mkubwa nashukuru kwa kupenda avatar yangu ya zamani ile ilikuwa ya John Cena wa WWE niliitoa baada ya umri kusogea kidogo siunajua mieleka inapendwa na matineja? Anyway siku hizi niko via mobile nikiwa kwenye computer nitairudisha mzee. Kwa sasa nasikitika siwezi kuona za wengi kwa vile strictly via mobile.
Naipenda yangu ya Lion of Judah, Mohammed Shossi, Speaker, Paka nyau Jimmy na Afrodenz
Naipenda yangu ya Lion of Judah, Mohammed Shossi, Speaker, Paka nyau Jimmy na Afrodenz
Vuvuzela twende taratibu hapo kwenye RED huyo mwenzio anatumia picha yake halisi, sasa ungefafanuwa ulichopenda ni nini? na si vibaya tukijuwa jinsia yako ili kuondoa mashaka mashaka ya sodoma na gomola.