Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Vocha mtumie CPU muuza chipsi.
nitakununulia boxer umfiche kloro.
Vocha mtumie CPU muuza chipsi.
nitakununulia boxer umfiche kloro.
lol! Kwanza nijalie hali yako,pili nifafanulie huyo kloro anaefichwa ni yupi :smile:
khaaaa!nitakununulia boxer umfiche kloro.
Hakyababu huyu Husninyo lile tangazo la kiama limeathiri akili zake kidogo.lol! Kwanza nijalie hali yako,pili nifafanulie huyo kloro anaefichwa ni yupi :smile:
Hakyababu huyu Husninyo lile tangazo la kiama limeathiri akili zake kidogo.
Watu wa tangazo la kiama walikosea advert bana, kumbe jana ilikuwa ni rehersal, kiama rasmi kitakua wiki ya mwanzo ya June. Rehearsal ya jana iliuwa bata kibao nchini bangladeshtangu sir god ahairishe kiama nimekuwa na akili hadi nachanganyikiwa.
Watu wa tangazo la kiama walikosea advert bana, kumbe jana ilikuwa ni rehersal, kiama rasmi kitakua wiki ya mwanzo ya June. Rehearsal ya jana iliuwa bata kibao nchini bangladesh
hali yangu nzuri, kwenye jukwaa letu la malalamiko huonekani. Lol!
Kloro anahitaji kufichwa kwenye boxer mama, kloro afichwe jamani tusije tukaota usiku.
Mbona yangu hamuisemi jamani?
naanza rasmi kuonekana maana kiwewe cha kiama kilinifanya nidumu kny toba
Hakyababu huyu Husninyo lile tangazo la kiama limeathiri akili zake kidogo.
hehehehe! Kiama kijacho cha suprise. Sahv nataka nianze kushinda jukwaa la imani.
Kwaheri wise, kwaheri kloro.
mimi bana nikiona avatar yako tu basi nasahau hata pasiwedi yangu ya JF. idumu avatar ya wiselady! tujibuni kwa pamoja (idumuuu)BTW hivi huipendi avatar yangu maana hus yeye avatar zimemkataa
khaaaa! unachafua CV mama! mchumbaangu nimemwambia nina kabamia, ustake kuharibu ndoa yangu.hali yangu nzuri, kwenye jukwaa letu la malalamiko huonekani. Lol!
Kloro anahitaji kufichwa kwenye boxer mama, kloro afichwe jamani tusije tukaota usiku.
mimi bana nikiona avatar yako tu basi nasahau hata pasiwedi yangu ya JF. idumu avatar ya wiselady! tujibuni kwa pamoja (idumuuu)