Baba_Enock
Enock was my only son and passed away on 21-June-2008 @ Mikocheni Mission Hospital (RIP)
He was a special gift to the family.
Hiyo Avantar ndiye Enock akiwa anasubiri kuingia maabara kwa ajili ya vipimo na the next day died while in the operating theatre.
Amen
Baba_Enock
Enock was my only son and passed away on 21-June-2008 @ Mikocheni Mission Hospital (RIP)
He was a special gift to the family.
Hiyo Avantar ndiye Enock akiwa anasubiri kuingia maabara kwa ajili ya vipimo na the next day died while in the operating theatre.
Amen
Baba_Enock
Enock was my only son and passed away on 21-June-2008 @ Mikocheni Mission Hospital (RIP)
He was a special gift to the family.
Hiyo Avantar ndiye Enock akiwa anasubiri kuingia maabara kwa ajili ya vipimo na the next day died while in the operating theatre.
Amen
Toka nilipokuwa mdogo nilikuwa napenda sana kula ubwabwa, siku nyumbani wakipika ugali, nilikuwa nanuna na huwa sili, na nikisikia mahala kuna shuguli na kuna ubwabwa mimi nilikuwa wa kwanza kufika mpaka marafiki zangu wakaanza kuniita bwabwa, kwa kumbukumbu ya hili jina ndio maana naliwakilisha
Toka nilipokuwa mdogo nilikuwa napenda sana kula ubwabwa, siku nyumbani wakipika ugali, nilikuwa nanuna na huwa sili, na nikisikia mahala kuna shuguli na kuna ubwabwa mimi nilikuwa wa kwanza kufika mpaka marafiki zangu wakaanza kuniita bwabwa, kwa kumbukumbu ya hili jina ndio maana naliwakilisha
Toka nilipokuwa mdogo nilikuwa napenda sana kula ubwabwa, siku nyumbani wakipika ugali, nilikuwa nanuna na huwa sili, na nikisikia mahala kuna shuguli na kuna ubwabwa mimi nilikuwa wa kwanza kufika mpaka marafiki zangu wakaanza kuniita bwabwa, kwa kumbukumbu ya hili jina ndio maana naliwakilisha
bwabwa bana sasa tuelewe vipi mbona unatuchanganya wenzio?
Binti Maringo!.....Ni kutokana na marafiki zangu kuniambia kuwa nina maringo sana so i came up with this name Binti Maringo kutokana na maringo yangu!.....Lakini i am people persona nd good sense of humour...don't try!
Preta forget about ile ya nyingine, take this one for a relief!!!
natamani ungeisikia ile nyimbo...
maringo,binti maringoo
nitakukumbuka daimaa.
Hiyo nyimbo lazima umetunga! maana sijawahi kusikia hata siku moja....nani mtunzi na muimbaji?