Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
PAESULTA,nilijijipa hili nikiwa shule ya msingi darasaa la sita mwaka 1993,sababu nilimpenda sana msichana mmoja hivi(amini usiamini mpaka leo hajanitoka moyoni ingawa hatukuwahi kuwa na uhusiano wowote wa kimapenzi kwani sijamuona tena baada ya kumaliza shule ya msingi zaidi ya mawasiliano ya barua kwa muda fulani tulipokwenda sekondari) ,anywa as i was saying nilijipa jina hili baada kuweza kuunganisha herufi ya majina yetu mawili na likatokea jina hili ambalo linatakiwa kurepresent mapenzi yangu kwa msichana yule kwa jinsi yalivyo.sidhani kama nitakuja kumsahau,aliniingia sana moyoni...
pole mdau, hata mimi imeshanitokea miaka ya 1990s, dah nilimpenda sana totoz fulani alikuja jirani yetu! tukawa marafiki sana! lkn siku alipokuwa anarudi kwao weeeeeee wacha nimwage 'chozi'. tangu aondoke siku hiyo sikuwahi muona tena! nimetafuta lkn wapi! jinsi nijisikiavyo kwake sijawahi kujisikia hivyo kwa totoz nyingine!! so, hauko peke yako!