Na mimi nilipata nafasi ya kuwasikiliza.Ilikuwa upuuzi mtupu.Ninalotaka kuwaambia CCM ni kwamba, watanzania tunaona ujinga wao,na tunaakili ya kuweza kutenganisha chuya na mchele.Tunawasubiri 2015.
Sema kwa niaba yako na si kwa watanzania wote. Unadhani kudanganywa kwako kuko sawa na watanzania wote?.
.
CHAFUA JINA, JENGA AFYA