Shida ni ile ile ya hawa jamaa kutoa majibu mepesi katika maswali magumu!Jenerali anauliza maswali mazuri sana lakini anaangushwa na Nape na Januari, hawayatendei haki maswali hayo!
Naona Nape anatoka povu tu,nadhani amekuja kwenye huo mjadala bila kujiandaa na hajui anachokiongea,hajajibu swali hata moja.huyu kijana nimemuondolea hata heshima kidogo niliyoukwa nayo kwake. Anadai ccm hii haiwezi kuwa sawa na ya mwalimu.!!!
makamba hana uzalendo wowote..yeye mwenyewe anakumbuka alivyomwaga fedha kule bumbuli,,takukuru waliarifiwa ila hawakutia miguu kabisa,,,,abishenimesikia kutoka kwa rafiki kuwa january makamba kiongozi mzalendo aliyeko ccm na vuvuzela la ccm nape nnauye watakuwa kwenye kipindi cha generali on monday leo tarehe 21/05/2012 saa 2.30 usiku. Na watazungumzia mambo yaliyotokea kwenye vikao vya ccm dodoma hivi karibuni na mstakabali wa ccm.
My take.
Nini future ya ccm mikononi mwa hizi damu changa? Watafanikiwa kuvadili huu upepo mbaya kwa chama chao?
Stay tuned!
Nape,Anasema wamepanga kudhibiti rushwa kwa wagombea wa nafasi mbalimbali!
Hivi ssm inadhibiti rushwa au inapalilia na kulinda watoa rushwa wakati wa uchaguzi?
Huwezi kuwa ccm alafu ukawa mzalendo january anatuhadaa tu
Hatumtaki m2 typ ya Januari,hana tofauti na MUTUZ LE BAHARIA
Nawashauri ccm waangalie uwezo wa nape kwenye hiyo nafasi amepwaya sana!anadhani hii ni tz ya mwaka 47 watu wapo vijijini ila wana data za kila siku ccm inavyowaibia.
Ktk kipindi cha chaneli ten on monday,ambapo wageni walikuwa nape na januari wamepata wakati mgum ktk kujibu maswali ya jenerali ulimwengu kwakweli kama vijana wenzetu nape na makamba nawaomba kufanya maamuzi magum kuepukana na chama hicho maana hapo kilipofikia hakiwezi kubadilika zaidi ya kupotea ktk medani za siasa.nawaomba mda uliobaki ni mdogo wa kufanya mabadiliko karibu ktk m4c now tuwaache wazee huko mimi nimeshaanza m4c.
Hatumtaki m2 typ ya Januari,hana tofauti na MUTUZ LE BAHARIA