Nimesikia kutoka kwa rafiki kuwa January Makamba kiongozi Mzalendo aliyeko CCM na Vuvuzela la CCM Nape Nnauye watakuwa kwenye kipindi cha generali on Monday leo tarehe 21/05/2012 saa 2.30 Usiku. Na watazungumzia mambo yaliyotokea kwenye vikao vya CCM Dodoma hivi karibuni na mstakabali wa CCM.
My take.
Nini future ya CCM mikononi mwa hizi damu changa? Watafanikiwa kuvadili huu upepo mbaya kwa chama chao?
STAY TUNED!
My take.
Nini future ya CCM mikononi mwa hizi damu changa? Watafanikiwa kuvadili huu upepo mbaya kwa chama chao?
STAY TUNED!