Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,536
- 2,187
- Thread starter
- #61
Heh, kuna mtu kaiba pasiwedi ya Lizzy?
Leo na yeye kawa maharage ya Mbeya
Ta Kamugisha, katambikie ulikopita leo na hongera sana.
Ni kipaji tu, wengine tumezaliwa kupendwa, hakuna cha kutambika wala nini hapa, ni sera zako zikiwa na mashiko unag'oa kiulaini tu.