MWALIMU DAIMA
Senior Member
- Mar 4, 2023
- 130
- 263
Nimatumaina yangu kuwa uu mzima wa afya, nimatumaina yangu kuwa upo kipindi Cha furaha kuliko Wakati wote nilio kufahamu . Najua zimebaki siku mbili ufunge ndoa na mwanaume umpendaye.
Kwa upande wangu nipo kipindi Cha majonzi ni mwaka wa kumi sasa Toka ulipo niacha bila ya Mimi kujua sababu japo nilikupenda enzi zile tupo chuo jijini Mbeya, lkan ukaamua kuachana na Mimi mwanaume nilie kupenda na kukuthamini kwa uwezo wangu mdogo. Nilijinyima Mimi ili wewe upate japo maisha ya nyumbani kwenu yalikuwa bora kuliko nyumbani kwetu, lakn siku hesabu hayo.
Moyoni naumia sana kwani Toka ulipo niacha sijapata mwanamke nimpendae bado umebaki ndani ya Moyo.
Kesho kutwa unaolewa na moja ya daktari mkubwa apo jijini Mbeya, maskin mm najiandaa kufunga safari Toka kwetu kasulu nije nishuhudie ndoa yako, nije japo nikutazame Kwa mara ya mwisho.
Barua hii nimeiandika mimi mwenyewe mwanaume nilie kupenda lakini bila ya sababu yoyote ukanisaliti ndani ya miezi sita mapenzi yetu yakafa.
Nimeandika barua hii nikiwa ni melala kitandani kwan Hali Yangu ya afya inazidi kuwa mbaya .
Ni Mimi mwalimu daima
Kwa upande wangu nipo kipindi Cha majonzi ni mwaka wa kumi sasa Toka ulipo niacha bila ya Mimi kujua sababu japo nilikupenda enzi zile tupo chuo jijini Mbeya, lkan ukaamua kuachana na Mimi mwanaume nilie kupenda na kukuthamini kwa uwezo wangu mdogo. Nilijinyima Mimi ili wewe upate japo maisha ya nyumbani kwenu yalikuwa bora kuliko nyumbani kwetu, lakn siku hesabu hayo.
Moyoni naumia sana kwani Toka ulipo niacha sijapata mwanamke nimpendae bado umebaki ndani ya Moyo.
Kesho kutwa unaolewa na moja ya daktari mkubwa apo jijini Mbeya, maskin mm najiandaa kufunga safari Toka kwetu kasulu nije nishuhudie ndoa yako, nije japo nikutazame Kwa mara ya mwisho.
Barua hii nimeiandika mimi mwenyewe mwanaume nilie kupenda lakini bila ya sababu yoyote ukanisaliti ndani ya miezi sita mapenzi yetu yakafa.
Nimeandika barua hii nikiwa ni melala kitandani kwan Hali Yangu ya afya inazidi kuwa mbaya .
Ni Mimi mwalimu daima