Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,776
Kaka iyo ni noma, ukitaka kumkomoa unashusha ya upande mmoja lingine unaliacha kwaida, atakomaje!
Alafu si unamuona chale-cheja !
Anajifanya hauoni huu uzi !
Wakati kauona sana, kaumwaga Siasa,
Siasa na Kongosho wapi na wapi !