Blaine
JF-Expert Member
- Jan 11, 2012
- 2,275
- 1,655
mito. mimi naficha almost kila kitu kwenye laptop yangu kwa sababu za binafsi, sio tu niko JF bali hata files/folders etc. bossi wangu anajua nipo JF lakini sio ID au kingine, kuna vitu nimesema hapa jamvini ambavyo nisingependa waliokaribu nami wajue.
gfsonwin. watu wanaona post zako zina mchanga mzuri ndio maana una rep kubwa, kuna uzi unaoelezea rep lakini sikumbuki ipo forum gani.
gfsonwin. watu wanaona post zako zina mchanga mzuri ndio maana una rep kubwa, kuna uzi unaoelezea rep lakini sikumbuki ipo forum gani.
Last edited by a moderator: