Jamani ID zetu zinaficha mengi, khaa!

mito. mimi naficha almost kila kitu kwenye laptop yangu kwa sababu za binafsi, sio tu niko JF bali hata files/folders etc. bossi wangu anajua nipo JF lakini sio ID au kingine, kuna vitu nimesema hapa jamvini ambavyo nisingependa waliokaribu nami wajue.

gfsonwin. watu wanaona post zako zina mchanga mzuri ndio maana una rep kubwa, kuna uzi unaoelezea rep lakini sikumbuki ipo forum gani.
 
Last edited by a moderator:
Mimi sina shaka maana nashea haka ka ID na my wife 2 be'kwa hyo muwe makini PM zenu'
 
mito unajua kwanini huwa hatupendi? ili tuweze kuongea freely kwani ukijulikana lazma lazima heshima yako uilinde ama umesahahu? jf bana naona hii mbinu ya kwa na hidden ID ni nzuri sana na binafsi nafagilia.

Ila kweli wakati mwingine unatema maneno makali sijui niniliu kuingia niniliu!!!!!!! Injinia akiona atazimia
 
Ila kweli wakati mwingine unatema maneno makali sijui niniliu kuingia niniliu!!!!!!! Injinia akiona atazimia
platozoom unajua hapando mahala pa kuondolea stress manake kazini nidham 100% hm na kwenyewe sasa huna muda hata wa kuropoka katusi kamoja wafikirije? bora nilimwage kwenye key board japo na mimi nipunguze kiupepo.

wakaka huwa mwaweza kutukana hadharani sana tu ila kwa mtu kama mimi wala tusi haliwez kutoka kinywani manake sijawah so ni bora kuliandika hapa kimtindo jamani lol
 
Last edited by a moderator:
Mimi ntizama hili tofauti kidogo........naamini haya tunayoyamwaga humu pengine ndio identity yetu halisi na huko nje tuna-pretend tu!!.........! Na mfano ni rahisi tazama wanavyomwagika watu hapa kusema "simpendi mume/mke, ndoa imenishinda (ingawa akiwa kwake na kwa wengine anaonyesha anaipenda sana ndoa yake), mwingine atasema napenda blow job ingawa akiwa na patna wake ana-pretend hataki kabisa hayo mambo"
 
mito , mmmh kuna matatizo gani wakijua.....good thing ninaofanya nao kazi si wadaku!
 
Last edited by a moderator:
Mimi ntizama hili tofauti kidogo........naamini haya tunayoyamwaga humu pengine ndio identity yetu halisi na huko nje tuna-pretend tu!!.........! Na mfano ni rahisi tazama wanavyomwagika watu hapa kusema "simpendi mume/mke, ndoa imenishinda (ingawa akiwa kwake na kwa wengine anaonyesha anaipenda sana ndoa yake), mwingine atasema napenda blow job ingawa akiwa na patna wake ana-pretend hataki kabisa hayo mambo"

umenena vema
 
mito unajua kwanini huwa hatupendi? ili tuweze kuongea freely kwani ukijulikana lazma lazima heshima yako uilinde ama umesahahu? jf bana naona hii mbinu ya kwa na hidden ID ni nzuri sana na binafsi nafagilia.

Exactly gfsonwin
 
mito. mimi naficha almost kila kitu kwenye laptop yangu kwa sababu za binafsi, sio tu niko JF bali hata files/folders etc. bossi wangu anajua nipo JF lakini sio ID au kingine, kuna vitu nimesema hapa jamvini ambavyo nisingependa waliokaribu nami wajue.

gfsonwin. watu wanaona post zako zina mchanga mzuri ndio maana una rep kubwa, kuna uzi unaoelezea rep lakini sikumbuki ipo forum gani.

Asante braine n kurt nazidi kuwa na moyo, kumbe nafanya vizuri tu kujificha
Ila nimepata shida kuandika jina lako, loh!
 
mito , mmmh kuna matatizo gani wakijua.....good thing ninaofanya nao kazi si wadaku!

Tatizo ni kama alivyoeleza gfsonwin, braine n kurt na wengine.........hope umesoma sababu walizotoa.
Kwahiyo we hata laazizi wako akujua ID yako ni poa tu, utaendelea kujimwaga kwa uhuru?
 
Umenikumbusha kisa kimoja hapa jamvini. Jamaa alikuwa mwanachama hapa mchangiaji mzuri sana. Basi yeye na mkewe kila mtu ana lap top yake. Sasa siku moja wamekaa sitting room kila mtu yuko busy na lap top yake, mwenzie akanyanyuka kwenda ama jikoni au chumbani (sikumbuki vizuri) basi jamaa akaenda kuchungulia haraka haraka ili asikutwe kuona mkewe alikuwa anafanya nini kwenye LT. Akamkuta yuko hapa jamvini na akabahatika kuona ID yake. Basi akaanza kufuatilia michango yake ya nyuma na kukuta mkewe alikuwa anafagilia sana mambo ya tigo.

Jamaa akaandika hapa mkasa wake na kusema amechanganyikiwa kupita kiasi maana yeye na mambo ya tigo mbali mbali na hawajawahi (yeye na mkewe) hata siku moja kugusia hata kwa dakika moja mambo/utamu wa tigo sasa kama anatundika jumbe hapa ukumbini kufagilia tigo je huwa anafanya na nani?

Michango ya mwanachama yule ikapungua sana na hatimaye akapotea kabisa au labda aliamua kubadili ID.

BAK nimependa huu ushuhuda wako!
Ila kumbe uko biased kama Mtambuzi mkuu, mbona mimi hujaniwekea muziki au picha? au database yako imekaukiwa mzee, aaha!
 
Back
Top Bottom