Duh, yenu kiboko Karata, khaa!
But how free are you ktk kujimwaga? I can foresee somekind of limitation......not sure though!
ID za jamii forums nyingine zinafanana na mtu alivyo na uhalisia wake huko uraiani na nyingine ni tofauti na mtu alivyo huko uraiani. Waweza kuta mtu hapa jf ni machachari ila huko ni mpolee and the opposite. Wengine humu ni mashushushu na wengine humu ukoo wote uko hapa na wanflirtiana bila wao kujijua, baba anamflirt bintiye, mama anaflirt na kaka yake mwalimu na dent, bosi na mfanyakazi bila kutambulishana in real. Some how this is like a game u live the way u want nahisi limit ni kuweka au kuongea porn ndo hairuhusiwi.
For me its good coz naenjoy, reduce stress, make myself happy and have fun. Sitataka mtu yeyeote anayenijua ajue ID yangu wala mimi sitaki fahamu ID ya mtu yeyeote ninayefahamiana naye. So I count everyone here as a new friend.
Kweli zinaficha mengi hata avatar pia zina message kwamba huyu mtu anapenda nn au anafurahia nini lol
duh! mito mimi niko sitak mtu anijue kabisa kama niko jf.
na nashukuru sana jina langu ni gumu so watu hawaliwez na mii mwenyewe sijisemi kabisaa. Miye hata nikimuona mtu anakuja karibu yangu nafunga pc mapema pasi hata kuzima wallah manake na utumbo wangu wa humu lol! huyo mume angezimika jamani asingeamni busara zote nikiwa naye kumbe nsikojulikana niko na pumba kiasi hiki.
Taratibu bibie; ina maana mimi napenda au kufurahia Nzi?!
Anyway, ID za humu kweli zinaficha na kufichua mengi sana...acha tu.
Au mtu anakuona na t-shirt la jf, anakuangalia wee alafu anakausha tu.....ila we unakuwa umeshahisi kabisa kuwa na huyo nae ni member!
"afu" niliyohitimu not less than two years ago ndo kitu gani?
Una mtizamo hasi kuhusu wachagga kama kule kwenye siasa?
Teh teh teh...mbavu zangu pliiz!Are you a canibalist?or is it on some occasions?you really eat it?how much you like human sushi?jamaa ako we mchagga?I got some realy nice "flesh sushi" to satisfy your "hunger" so to speak!
thanks but inamaana yeyote kweli? sijui to me ni just numbers.ama hebu nieleweshe kiongozi?
mito, anza kuwauliza kama wapo humu au lah. Mi nashangaa kwanini watu wanajificha sana hawataki kujulikana kama ni members humu ila ukimuuliza kama yupo facebook anajibu kwa nguvu zote.
Ha ha ha ha, no comment
Wameni-mute na remote wakatupa!