Iran kununua ndege 114 za Airbus

Mkuu ungejua kwamba engine zinazo tumika kwenye ndege za Boeing nyingi zinahundwa Uingereza (RollsRoyce) - sio kwamba Merikani hawana gas turbine engines wanazo eg General Electric na Pratt and Whitney tatizo hazina ubora wa kuzipiku Engine za Waingereza na Wafaransa, ukizungumzia masuala ya Airframe ntakuelewa lakini sio upande wa engines na avionics.

Hapa naona unawesema sema wa Iran, we unafikiri ndege zilizo nunuliwa Merikani kwenye miaka ya late 60 na early 1970 wakati wa utawala wa Shah zingukuwa katika hali gani, bila ya ubunifu wa Wairan ndege hizo zingekuwa grounded lakini Phantom zinaruka mpaka leo - just imagine! Dunia nzima inajua umahili wa wanasayansi wa Iran kama ulimsikiliza Obama juzi juzi aligusia umahili wana sayansi wa Iran,tatizo sisi watu baki tunabaki kuwa brainwashed na propaganda za MSM zinazo beza beza mataifa mengine.
Iran ni mahiri lakini haina umahiri kwa Marekani. Msijipe mahopu bure. Mtakufa kwa Presha na msongo wa mawazo.

USA ni dubwana kubwa sana! Limeanzishwa mwaka 1779 mpaka sasa hivi.

USA ina Nuclear Misiles, ICBM, Submarines za aina zote including Nuclear submarines ambazo ndio za kisasa, Aircraft carreers kama 14 in service, Silaha kali na nzito, Ndege kali kama Stealth, Drones, B52, zinapiga kazi mpaka leo. Apache, mifumo yake ya ulinzi iko kwenye space, vifaru vigumu kama Abram vinatumia laser na GPS systems technology na technolojia ya kuona usiku., usa wana Millitary pacts katika sehemu kubwa ya dunia.
Kama Italy, Saudia, Kuwait, Iraq, Indonesia, Turkey, Japan, South Korean, kwingineko duniani.
Mataifa yaliomzunguka mwirani ni karibu yote rafiki wa USA zaidi.
Umoja wa Arab(Arab league) ni maadui wa Iran na wanatamani kuona taifa hilo likiangushwa wakati wowote...
Hata vita ikipiganwa ni Uhakika yatatoa ushirikiano wa anga zao na viwanja vyao ili ndege za marekani ziweze kufanya mashambulizi,
Yataruhusu bahari yao itumiwe na Manuari za Marekani kumpiga mu-Iran kama ambavyo wameruhusu ili vikwazo dhidi ya Iran viweze kufanya kazi. hii ni given 100%
USA pale alipo anauwezo wa kulipa waasi(Mecenaries) wa kuishambulia Iran bila yeye kushusha buti ardhini.

Acheni utoto kuilinganisha USA na vitu vya Ajabu.

Taifa pekee la kulinganishwa na USA ni Russia tu. China bado sana

Bajeti ya USA ya Jeshi ni kubwa kuliko china na urusi na nchi za ulaya ukijumlisha kwa pamoja.
 
Mkuu mbona unateseka ...?

Maelezo mengi yanini, yote hayo unayoyaeleza sie tunayajua ila tusicho kijua ni kwamba huyo mwanaume anashindwa nini mpaka sasa hata kuishambulia hiyo Iran...?
Iran ni mahiri lakini haina umahiri kwa Marekani. Msijipe mahopu bure. Mtakufa kwa Presha na msongo wa mawazo.

USA ni dubwana kubwa sana! Limeanzishwa mwaka 1779 mpaka sasa hivi.

USA ina Nuclear Misiles, ICBM, Submarines za aina zote including Nuclear submarines ambazo ndio za kisasa, Aircraft carreers kama 14 in service, Silaha kali na nzito, Ndege kali kama Stealth, Drones, B52, zinapiga kazi mpaka leo. Apache, mifumo yake ya ulinzi iko kwenye space, vifaru vigumu kama Abram vinatumia laser na GPS systems technology na technolojia ya kuona usiku., usa wana Millitary pacts katika sehemu kubwa ya dunia.
Kama Italy, Saudia, Kuwait, Iraq, Indonesia, Turkey, Japan, South Korean, kwingineko duniani.
Mataifa yaliomzunguka mwirani ni karibu yote rafiki wa USA zaidi.
Umoja wa Arab(Arab league) ni maadui wa Iran na wanatamani kuona taifa hilo likiangushwa wakati wowote...
Hata vita ikipiganwa ni Uhakika yatatoa ushirikiano wa anga zao na viwanja vyao ili ndege za marekani ziweze kufanya mashambulizi,
Yataruhusu bahari yao itumiwe na Manuari za Marekani kumpiga mu-Iran kama ambavyo wameruhusu ili vikwazo dhidi ya Iran viweze kufanya kazi. hii ni given 100%
USA pale alipo anauwezo wa kulipa waasi(Mecenaries) wa kuishambulia Iran bila yeye kushusha buti ardhini.

Acheni utoto kuilinganisha USA na vitu vya Ajabu.

Taifa pekee la kulinganishwa na USA ni Russia tu. China bado sana

Bajeti ya USA ya Jeshi ni kubwa kuliko china na urusi na nchi za ulaya ukijumlisha kwa pamoja.
 
Mkuu mbona unateseka ...?

Maelezo mengi yanini, yote hayo unayoyaeleza sie tunayajua ila tusicho kijua ni kwamba huyo mwanaume anashindwa nini mpaka sasa hata kuishambulia hiyo Iran...?

Jifunzeni Geopolitics mtaelewa.

Kimsingi Zipo sheria zinazo guide Mataifa kufanya maamuzi maguu kama kupigana Vita.
Vita hawapigani bila Kufuata Utaratibu huo.

Kitaifa:-
1. Raisi lazima aeleze sababu za Msingi kwa bunge la Congress na seneti za kushawishi kwanini nchi ni lazima kuingia Vitani. Ili wabunge waweze kumtengea bajeti ya jeshi.
Kwa Hili sioni Trump akifanikiwa. Na ndio maan naondoa uwezekano wa kutokea vita.

Kimataifa.
2. Sababu za USA lazima ziwe zina hold water kulingana na Siasa za Kimataifa. Ili zipate Baraka na mataifa matano ya wanachama wa kudumu Yenye kura VETO yaweze kubariki matumizi ya nguvu.

Kitu ambacho China Na Russia kamwe hawataunga mkono.

Lakini angalau mataifa yaliobaki kama UK, France, German wakubaliane na uamuzi wa Vita.
Ni rahisi kwa France kuunga mkono kuliko hayo Mataifa mawili ya mashariki.
China anaonyesha kua ana maslahi na Iran zaidi.

Pia itajumuisha kupewa go ahead za mataifa wanachama wa nchi zA Ulaya, Afrika ikiwemo Tanzania
Nk. Hii ni Kwa mujibu wa kanuni walizojiwekea.mara nyingi Hii hufanikiwa kwasababu USA hua anawahahidi economic benefits zilw nchi zitakazo muunga mkono kwa yeye kuingia vitani.

3. KUJIHAMI. Ni sababu halali ya kuingia vitani. Kila taifa lina haki ya kujilinda dhidi ya Adui wa ustawi wake.
Mf. Israel iliingia vitani na Hamas na kuuharibu mji wa Gaza kwasababu ilienda kujihami na mashambulizi ua hamas.

Iran wanaweza kuitumia haki hii dhidi ya USA na washirika wake. Kwa kuingia vitani dhidi ya USA. Ikiwa wanaona ipo hatari ya usalama wao
Lakini sisi wenye Akili, tunajua Iran hawezi kuthubutu kwakua anaujua moto wa USA.

Vilevile USA, atalazimika kuithibitishia dunia, ushahidi usio na shaka kua serikali ya Jamhuri ya watu wa Iran yenye makao makuu Tehran ni kitisho kwa usalama wa USA.

Mpaka sasa sijaona dalili za Iran kua Hatari kwa USA. Na dunia inajua hivyo.


Tukirejea historia, Wakati ule wa Raisi Ahmednejan ilibaki kidogo wamarekani na Ulaya wapate sababu za kumvamia Iran.
Pale Raisi huyo wa Iran aliposema Israel ifutwe katika uso wa dunia.

Hii ndio sababu Ahmednejan aliondolewa madarakani na ameshindwa uchaguzi wa nchini kwake akiwania kurudi kua Raisi mara ya nyingine tena. WaIran wanamwona Ahmednejan ni mtu anayeweza kuchochea USA ikapata sababu za wao Kupigwa. WaIran wakatumia akili wakamweka Hassan Rouhan. Huyu Rouhan amefanya vizuri sana kwenye eneo zima la diplomasia ya maneno na Nuclear dhidi ya USA kipindi chote cha Obama, ikapelekea Iran kuruhusiwa Kuendelea kurutubisha Uranium kwenye Vinu vyake. Aliweza kuithibitishia dunia kua matumizi salam ya nishati ya nuclear ni sio kuundia bomu la Nuclear.

Mtu mkorofi aliyebaki kwenye utawala wa Iran, ni kiongozi mkuu Ayatollah. Na nguvu yake kisiasa imejengwa kupitia uhasama wa Iran na wamagharibi hasa Saudia, USA na Israel. Ayatollah hupendelea kusimamia Imani hiyo ili mamlaka yake yaendelee kuonekana relevance.

Kipindi cha Sadamu Hussein, Raisi Bush alishajaribu kushawishi UN ili aingie Vitani kumpiga Sadam, kwa madai mfu kua Iraq ina silaha za Nuclear. Alipoona Russia wamepanga kutumia Veto kupinga vita, akaamua kutofuata utaratibu wa UN akaivamia IraQ KIBABE. Kosa hilo Trump hawezi Jiingiza.

Dunia ya leo mataifa Makubwa yamestaarabika hayapendi vita na Umwangaji wa Damu.

Hatupigani Vita kama zile Zama za Hitler na dark ages. Lazima uje na sababu zenye mashiko. Ili Ukiingia Vitani Unakua hauvunji sheria. Na siasa zako zingine zinakua haziathiriki moja kwa moja kimataifa.
 
Ahsante mkuu kwa nakala yako tamu, iliyoniachia maswali mengi mno.
Jifunzeni Geopolitics mtaelewa.

Kimsingi Zipo sheria zinazo guide Mataifa kufanya maamuzi maguu kama kupigana Vita.
Vita hawapigani bila Kufuata Utaratibu huo.

Kitaifa:-
1. Raisi lazima aeleze sababu za Msingi kwa bunge la Congress na seneti za kushawishi kwanini nchi ni lazima kuingia Vitani. Ili wabunge waweze kumtengea bajeti ya jeshi.
Kwa Hili sioni Trump akifanikiwa. Na ndio maan naondoa uwezekano wa kutokea vita.

Kimataifa.
2. Sababu za USA lazima ziwe zina hold water kulingana na Siasa za Kimataifa. Ili zipate Baraka na mataifa matano ya wanachama wa kudumu Yenye kura VETO yaweze kubariki matumizi ya nguvu.

Kitu ambacho China Na Russia kamwe hawataunga mkono.

Lakini angalau mataifa yaliobaki kama UK, France, German wakubaliane na uamuzi wa Vita.
Ni rahisi kwa France kuunga mkono kuliko hayo Mataifa mawili ya mashariki.
China anaonyesha kua ana maslahi na Iran zaidi.

Pia itajumuisha kupewa go ahead za mataifa wanachama wa nchi zA Ulaya, Afrika ikiwemo Tanzania
Nk. Hii ni Kwa mujibu wa kanuni walizojiwekea.mara nyingi Hii hufanikiwa kwasababu USA hua anawahahidi economic benefits zilw nchi zitakazo muunga mkono kwa yeye kuingia vitani.

3. KUJIHAMI. Ni sababu halali ya kuingia vitani. Kila taifa lina haki ya kujilinda dhidi ya Adui wa ustawi wake.
Mf. Israel iliingia vitani na Hamas na kuuharibu mji wa Gaza kwasababu ilienda kujihami na mashambulizi ua hamas.

Iran wanaweza kuitumia haki hii dhidi ya USA na washirika wake. Kwa kuingia vitani dhidi ya USA. Ikiwa wanaona ipo hatari ya usalama wao
Lakini sisi wenye Akili, tunajua Iran hawezi kuthubutu kwakua anaujua moto wa USA.

Vilevile USA, atalazimika kuithibitishia dunia, ushahidi usio na shaka kua serikali ya Jamhuri ya watu wa Iran yenye makao makuu Tehran ni kitisho kwa usalama wa USA.

Mpaka sasa sijaona dalili za Iran kua Hatari kwa USA. Na dunia inajua hivyo.


Tukirejea historia, Wakati ule wa Raisi Ahmednejan ilibaki kidogo wamarekani na Ulaya wapate sababu za kumvamia Iran.
Pale Raisi huyo wa Iran aliposema Israel ifutwe katika uso wa dunia.

Hii ndio sababu Ahmednejan aliondolewa madarakani na ameshindwa uchaguzi wa nchini kwake akiwania kurudi kua Raisi mara ya nyingine tena. WaIran wanamwona Ahmednejan ni mtu anayeweza kuchochea USA ikapata sababu za wao Kupigwa. WaIran wakatumia akili wakamweka Hassan Rouhan. Huyu Rouhan amefanya vizuri sana kwenye eneo zima la diplomasia ya maneno na Nuclear dhidi ya USA kipindi chote cha Obama, ikapelekea Iran kuruhusiwa Kuendelea kurutubisha Uranium kwenye Vinu vyake. Aliweza kuithibitishia dunia kua matumizi salam ya nishati ya nuclear ni sio kuundia bomu la Nuclear.

Mtu mkorofi aliyebaki kwenye utawala wa Iran, ni kiongozi mkuu Ayatollah. Na nguvu yake kisiasa imejengwa kupitia uhasama wa Iran na wamagharibi hasa Saudia, USA na Israel. Ayatollah hupendelea kusimamia Imani hiyo ili mamlaka yake yaendelee kuonekana relevance.

Kipindi cha Sadamu Hussein, Raisi Bush alishajaribu kushawishi UN ili aingie Vitani kumpiga Sadam, kwa madai mfu kua Iraq ina silaha za Nuclear. Alipoona Russia wamepanga kutumia Veto kupinga vita, akaamua kutofuata utaratibu wa UN akaivamia IraQ KIBABE. Kosa hilo Trump hawezi Jiingiza.

Dunia ya leo mataifa Makubwa yamestaarabika hayapendi vita na Umwangaji wa Damu.

Hatupigani Vita kama zile Zama za Hitler na dark ages. Lazima uje na sababu zenye mashiko. Ili Ukiingia Vitani Unakua hauvunji sheria. Na siasa zako zingine zinakua haziathiriki moja kwa moja kimataifa.
 
Acha Uongo Mkuu hizo habari nadhani umepata Msikitini tu hakuan Shaka kwa Hilo na wewe utakuwa ni Msunni tu... Iran Anataka kununua Ndege 500 za Abiria na kati ya ndege hizo nyingi zitakuwa za Kimarekani kwa kampuni ya Boeing nadhani huelewi why Boeing ni kampuni gani ni ndege imara haziwezi fananishwa na kampuni yeyote ile Duniani Airbus ni Nyanya na pia Boeing zipo safe na full of technology ya Mmarekani na Muisrael Ndege za Boeing za abiria zinakwepa hadi makombora thanks to Israel Technology Airbus pia zinatechnology za Israel pia Iran ana urafiki na Russia lakini hawazii ndege zao kwani zimepoteza maisha ya Raia wengi wa Iran kwa Ajari na pia Iran Ndege zilizo kwenye List ya Iran ni kutoka Canada na Brazil na lengo kuu la Iran wanataka kuwa na Tech yao wenyewe Ila Ndege ni Shidaaaaa kutengeneza ghafla ghafla wana long time plan.

Marekani hakomoleki utatapa tapa tu mwisho maji yakikuishia utaomba tu.... Sasa Iran aseme amchunie Mmarekani hawezi kwani amejaribu kwa muda mrefu na alichokuwa anafanya anatumia third party country na wezi wa kimataifa kuwa na bidhaa zote za kimarekani na kuzipa majina yake tu yaani ni vituko so wameona ni ujinga bora wafanye biashara wazi wazi... kwani kila kitu watapata from Marekani na Israel japo kwa kisiri na Israel kama ilivyokuwa Desturi yao...
Mmh boeing zingekuwa imara zisingesababisha ajari takriban 4 ikiwemo ya ndege ya Ethiopia kaka akat airbus haijaleta madhara km ya Boeing kvp useme Boeing bora kuliko Airbus
 
Mmh boeing zingekuwa imara zisingesababisha ajari takriban 4 ikiwemo ya ndege ya Ethiopia kaka akat airbus haijaleta madhara km ya Boeing kvp useme Boeing bora kuliko Airbus
i hope unapongea hapo upo naked... Jaribu kujibu hoja kwa wakati wake... Ni sawa na Kusema Adam alikuwa Mshamba na hakuwahi panda gari katika maisha yake... Yaani unachukua habari ya wakati huu na kuifananisha na habari ya wakati uliopita. your crazy bad head.

Sababu za Boeing ilikuwa ni Software tu. Kwa Taarifa yako hizo kampuni nyingine lazima zifunge vifaa vya boeing kwenye ndege zao.. wanategemeana sana ila Boeing ni moto na bado atakaa juu juu zaidi mawinguni in Riwidi's voice
 
Sababu kuu mbili zitakazopelekea Iran kupigwa ni: 1. Kama watawarushia Marekani au washirika wake hata jiwe tu na 2. Kama watakaidi na kuendelea na mpango wa kutengeneza silaha za nyuklia.

Hapo Iran watapigwa vibaya sana na ndio utakuwa mwisho wa ma-ayatolla na baada ya hapo Iran itarejeshwa tena kundini na uchumi wake utaanza kukua kwa kasi chini ya utawala wa kidemokrasia.
 
Nina mashaka na iran, inaweza kua imekubali masharti ya wakubwa ili kuzuga ili iondolewe vikwazo inunue vipuli na vyombo vipya vingine baada ya hapo iseme itatengeneza silaha za nyuklia kama kawaida.

Maana kwa sasa ndio nchi yenye fleets za ndege za kizamani sana na nzee kwa ajili ya vikwazo. Magaribi wameanza kua na mashaka baada ya iran kuondolewa vikwazo imeobgeza ushirikiano na china kuliko kawaida.
US kazingua
 
Sababu kuu mbili zitakazopelekea Iran kupigwa ni: 1. Kama watawarushia Marekani au washirika wake hata jiwe tu na 2. Kama watakaidi na kuendelea na mpango wa kutengeneza silaha za nyuklia.

Hapo Iran watapigwa vibaya sana na ndio utakuwa mwisho wa ma-ayatolla na baada ya hapo Iran itarejeshwa tena kundini na uchumi wake utaanza kukua kwa kasi chini ya utawala wa kidemokrasia.
Hivi Iran na Saudi Arabia wapi kuna demokrasia ? Maana US wako kimya kuhusu Saudia , pia kama Iran utawala wake ukiondoshwa utawekwa utawala vibaraka
 
Back
Top Bottom