Iran kununua ndege 114 za Airbus

Acha Uongo Mkuu hizo habari nadhani umepata Msikitini tu hakuan Shaka kwa Hilo na wewe utakuwa ni Msunni tu... Iran Anataka kununua Ndege 500 za Abiria na kati ya ndege hizo nyingi zitakuwa za Kimarekani kwa kampuni ya Boeing nadhani huelewi why Boeing ni kampuni gani ni ndege imara haziwezi fananishwa na kampuni yeyote ile Duniani Airbus ni Nyanya na pia Boeing zipo safe na full of technology ya Mmarekani na Muisrael Ndege za Boeing za abiria zinakwepa hadi makombora thanks to Israel Technology Airbus pia zinatechnology za Israel pia Iran ana urafiki na Russia lakini hawazii ndege zao kwani zimepoteza maisha ya Raia wengi wa Iran kwa Ajari na pia Iran Ndege zilizo kwenye List ya Iran ni kutoka Canada na Brazil na lengo kuu la Iran wanataka kuwa na Tech yao wenyewe Ila Ndege ni Shidaaaaa kutengeneza ghafla ghafla wana long time plan.

Marekani hakomoleki utatapa tapa tu mwisho maji yakikuishia utaomba tu.... Sasa Iran aseme amchunie Mmarekani hawezi kwani amejaribu kwa muda mrefu na alichokuwa anafanya anatumia third party country na wezi wa kimataifa kuwa na bidhaa zote za kimarekani na kuzipa majina yake tu yaani ni vituko so wameona ni ujinga bora wafanye biashara wazi wazi... kwani kila kitu watapata from Marekani na Israel japo kwa kisiri na Israel kama ilivyokuwa Desturi yao...
hivi kwa nn watu weusi tunajidharau sana na tunapenda kusifia vitu wenzetu? Ulivyoanza naona unazisifia USA na Israel ndiyo wana technology kubwa lakini black people we need to change tumezidi kushadadia yasiyo tuhusu
 
hivi kwa nn watu weusi tunajidharau sana na tunapenda kusifia vitu wenzetu? Ulivyoanza naona unazisifia USA na Israel ndiyo wana technology kubwa lakini black people we need to change tumezidi kushadadia yasiyo tuhusu
Sio Black people tu tunashadadia haya Mambo hata Nchi nyingi za Wazungu wanaadmire Marekani na Israel... Sayansi ndipo ilipolala huko... na huwezi wakwepa kwa naman yeyote ile hata ukiboycot... Mwafrica hutoweza kwani mitaara yao wametupatia ili tusome na kuwafanyia kazi... ndio maana bado mnajifunza Bursen barner jana leo na kesho... Wao kuna vitu hawasomi tena kwani vimeshakuwa fixed mifano wakiwapa quote ya kutengeneza Barabara mnasema hatuwezi ni ghari sana pesa hizo tunaweza tengeneza barabara za nchi nzima mnaenda kwa wachina wanawatengenezea three years mnaomba tena pesa barabara zimekufa.... Nenda Berlin Concrete road tokea enzi za Hitler hadi leo hawana bajeti za barabara... Wao wanajua nini wanafanya... tukusema tufanye yetu itatake 500 years baada ya kuignore vya kwao... maana kukosa ndio kunaleta maarifa
 
H
nonesense

Mkuu huyu jamaa ni mjivuni tu, na ukisoma majibu jibu yake anaonekana anasumbuliwa na complexes za aina fulani, si hilo tu hata uelewa wake kuhusu masuala ya aviation ni dismal kabisa ndio maana anafoka foka ovyo na kuchukulia members wengine ni wajinga.
 
Sio Black people tu tunashadadia haya Mambo hata Nchi nyingi za Wazungu wanaadmire Marekani na Israel... Sayansi ndipo ilipolala huko... na huwezi wakwepa kwa naman yeyote ile hata ukiboycot... Mwafrica hutoweza kwani mitaara yao wametupatia ili tusome na kuwafanyia kazi... ndio maana bado mnajifunza Bursen barner jana leo na kesho... Wao kuna vitu hawasomi tena kwani vimeshakuwa fixed mifano wakiwapa quote ya kutengeneza Barabara mnasema hatuwezi ni ghari sana pesa hizo tunaweza tengeneza barabara za nchi nzima mnaenda kwa wachina wanawatengenezea three years mnaomba tena pesa barabara zimekufa.... Nenda Berlin Concrete road tokea enzi za Hitler hadi leo hawana bajeti za barabara... Wao wanajua nini wanafanya... tukusema tufanye yetu itatake 500 years baada ya kuignore vya kwao... maana kukosa ndio kunaleta maarifa
Huu ndo ukweli.
 
Hapa Boeing watakuwa wameumia sanaaaaa. Order ya ndege 114 si mchezo ni bulungutu hasa hata kabla ya kuweka spare parts na regular services. Ajira nyingi sana hizi kwa miaka mingi tu. Weye MKARE! Kwenye business World you're up there.
b89d6a8bdd7dfc774411b12cb97e5b95.jpg
Marekani ni kama maji usipoyaoga basi utayanywa

Hao AirBus wenyewe bila ruhusa ya US wasingeuza hzo ndege kWa Iran
b095117d14bf9ba5dce9225b75d57be8.jpg
 
Hizo silaha inazojilimbikizia iran itakuja kuzitumia kupigana vita ya wenyewe kwa wenyewe. Hili liwekeni kwenye akili zenu. Tuliona kwa libya,syria nayo ikinunua silaha kali ikitaka kuzitumia dhidi ya israel na sasa inazitumia dhidi ya wananchi wake wenyewe. Hii iran ndo ilisaidiwa na marekani saddam asiibaize vibaya katika vita vya ghuba. Wengine pengine hawafaham kutokana na udogo wa umri wao.Iran itaendelea kununua silaha ambazo Kuna siku itazitumia dhidi yao wenyewe.
Iran haikusadiwa na US kwenye vita , Iran ikisaidiwa na mrusi na Iraq na US mkuu
 
Record za Iran na vidhibiti huwa haaminiki na ni Mfadhili mkuu wa Ugaidi na elewa Mashia huwa ni watu wa Visasi wapo kama Wameru vile.. Mfano Nassar na Lem Arusha huko....

Iran ana makombora anawapa vikundi vya kigaidi je akiwa na nuclear si balaa hilo na Magaidi hawachagui sehemu iwe na mtoto au wazee uwe umefanya kosa au la ndio maana nchi zote jirani na za mbali zinapinga... pia ile kauli au kauli zake za kusema ataifuta kwenye ramani nchi ya Israel imechangia sana.. Ki ujumla Iran si Sawa kuwa na Silaha hizo..

Nchi kama Marekani Russia Israel na nchi kadhaa zimeweza kuwa nazo hizo kisiri na mwishowe ikawa too late kuzizuia ndio maana waliadhimia kutengeneza vifaa vya kuditect mapema kufahamu mtu anayetengeneza ili wamuwahi mapema... Hiyo mitambo unatakiwa uwe na pesa sana kuyatunza na pia kama unataka kuwa nayo basi yawe wazi kwenye uangalizi wa kimataifa ili yasije kuleta madhara kwa ulimwengu... na kiongozi wa Iran anamatatizo kichwani...
Vikundi gani vya kigaidi ? Huo ugaidi Kwa mtazamo wa Nani ? Maana hata Iran inawaona US ni magaidi ? Hizo propaganda mkuu , baadhi ya hivyo vikundi wameviunda wao US
 
Mkuu ungejua kwamba engine zinazo tumika kwenye ndege za Boeing nyingi zinahundwa Uingereza (RollsRoyce) - sio kwamba Merikani hawana gas turbine engines wanazo eg General Electric na Pratt and Whitney tatizo hazina ubora wa kuzipiku Engine za Waingereza na Wafaransa, ukizungumzia masuala ya Airframe ntakuelewa lakini sio upande wa engines na avionics.

Hapa naona unawesema sema wa Iran, we unafikiri ndege zilizo nunuliwa Merikani kwenye miaka ya late 60 na early 1970 wakati wa utawala wa Shah zingukuwa katika hali gani, bila ya ubunifu wa Wairan ndege hizo zingekuwa grounded lakini Phantom zinaruka mpaka leo - just imagine! Dunia nzima inajua umahili wa wanasayansi wa Iran kama ulimsikiliza Obama juzi juzi aligusia umahili wana sayansi wa Iran,tatizo sisi watu baki tunabaki kuwa brainwashed na propaganda za MSM zinazo beza beza mataifa mengine.
Mkuu uko vizuri
 
Vikundi gani vya kigaidi ? Huo ugaidi Kwa mtazamo wa Nani ? Maana hata Iran inawaona US ni magaidi ? Hizo propaganda mkuu , baadhi ya hivyo vikundi wameviunda wao US
Mkuu siwezi kukuita Mpumbavu maybe ni ujinga tu so nikikujibu pengine utaelewa au kama una upumbavu itakuwa ni kipaji chako... Hii hoja ina almost two years tokea 2016 leo ni 2019 so kuhusu Iran Vikundi inavyo visaidia vya kigaidi ni Hamas, Ismalim Jihad na Hezbollah ambavyo vinatambuliwa na nchi nyingi Duniani kuwa mlengo wao ni ugaidi.. so JF watu wanavyoandika wengi hatubahatishi kama unavyochukulia wewe masikhara masikhara tu au kusumbua kwa ubishi usio na umuhimu wowote ule... just like Mende or Panya kujipitisha Sebureni. Vikundi vingine au Jeshi lake lenyewe la Kimapinduzi lishashiriki issue za Kigaidi nchi kadhaa Duniani ikiwemo Argentina... na Wao walishatangaza kuwa wana nia ya kuifuta Israel katika ramani kwa njia yeyote ikiwepo kufadhiri vikundi vya Jihad na hilo lipo wazi sasa nakupa ufafanuzi ili uelewe yawezekana unasoma news lakini huelewi... ukitaka fact utapewa ila sibahatishi maneno yangu... maana wadhani jf ni uwanja wa Midhaha...

Issue ya Iran kusema Inawatambua baadhi ya wanajeshi wa Marekani katika eneo fulani kuwa ni magaidi ni uamuzi wao tu na sababu zao binafsi na hilo limekuja mwaka huu 2019 tena kwa kujibu mapigo kama tit for tat kwa sababu ya jeshi lao kuambiwa ni magaidi na si vinginevyo so Dunia Nzima imeona ni Kichekesho so kupelekea kutoungwa Mkono na nchi yeyote ikiwepo Tanzania.. so kama wewe umekubaliana na Marekani ni maamuzi yako kama ushabiki au umepima...

Next time aribu kuendana na majibu ya wakati uliopo... you have to move forward in your Life and not Moving Backward... Unalemaza Ubongo wako... THINK BEFORE YOU DO.
 
Vikundi gani vya kigaidi ? Huo ugaidi Kwa mtazamo wa Nani ? Maana hata Iran inawaona US ni magaidi ? Hizo propaganda mkuu , baadhi ya hivyo vikundi wameviunda wao US
These are mere Islamist Propaganda to hide the true jihadist objectives. If the US is behind the creation of the jihadist terrorist groups why don't they use the Christians to execute those terror missions? Why use the Muslims??
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom