Mali na BurkinaFaso zapeleka ndege za Kivita Niger kukabiliana na Ecowas

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,000
17,909
Mali, Burkina Faso zatuma ndege za kivita nchini Niger kukabiliana na hujuma tarajiwa ya ECOWAS

Mali na Burkina Faso zimeituma ndege za kivita Ijumaa kwenda Niger ili kukabiliana na hujuma tarajiwa ya kijeshi ya Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi (ECOWAS).

Ripoti iliyorushwa hewani na televisheni ya taifa ya Niger iliangazia juhudi za pamoja za Mali na Burkina Faso za kuunga mkono Niger na kutumwa kwa ndege za kivita ndani ya mipaka ya Niger.

Televisheni ya Niger imeripoti kuwa Mali na Burkina Faso ziligeuza ahadi zao kuwa hatua madhubuti kwa kupeleka ndege za kivita kujibu shambulio lolote dhidi ya Niger na kubainisha kuwa ndege hizo ni za kivita za Super Tucano.

Wakati wa mkutano wa Ijumaa wa wakuu wa kijeshi wa ECOWAS nchini Ghana, tarehe ya uingiliaji kati wa kijeshi unaokuja nchini Niger haikuwekwa wazi lakini umoja huo ulitangaza kuwa vikosi vyake vya kijeshi viko tayari kuingilia kati mara tu amri itakapotolewa.

Burkina Faso na Mali, zote zikiwa chini ya uongozi wa kijeshi, hapo awali zilitoa taarifa ya kuunga mkono Niger dhidi ya operesheni iliyopangwa ya kijeshi ya ECOWAS yenye lengo la kuondoa serikali ya kijeshi madarakani. Nchi hizo mbili zilionya kwamba uingiliaji kati wowote utaonekana kama tangazo la vita dhidi yao.

Jenerali Abdourahamane Tchiani, kamanda wa zamani wa walinzi wa rais wa Niger, alijitangaza kuwa mkuu wa serikali ya mpito mwezi uliopita baada ya Rais Mohamed Bazoum kuondolewa madarakani katika mapinduzi ya kijeshi.

Hivi karibuni pia Mkuu wa Jeshi la Algeria ameonya kuhusu jaribio la kuivamia kijeshi nchi jirani ya Niger na kusema kuwa uvamizi wowote wa kijeshi wa madola ya kigeni nchini Niger utatishia utulivu na usalama wa eneo zima la Sahel ya Afrika.

Jumatano ya tarehe Julai 26, jeshi la Niger lilifanya mapinduzi na baadaye kumuweka kizuizini rais wa nchi hiyo, Mohammed Bazoum.

Katika upande wa eneo la ardhi, Niger ndiyo nchi kubwa zaidi katika eneo la Afrika Magharibi. Ina ukubwa wa kilomita mraba milioni 1.3.
 
Nashindwa kuelewa namna walivyo ji-organize kwenye huo ukanda, sio Mali, Burkina Faso, Niger, wala Guinea ; mkuu wa majeshi hausiki, najaribu kufikiria waliwezaje kudhibiti jeshi la nchi nzima na kutii.
hizo nchi watu wanajitambua , ccmu imeunda jeshi la wajinga wanaowazia ugali na si nchi , jeshi zima la polis kwa zaid ya 50% ni form 4 failures , ss unategemea mtu wa hv kuwa n utimamu kweny maswala muhimu
 
BREAKING: A Russian plane has landed in Niger capital, Niamey, carrying hundreds of Wagner fighters it allegedly picked up from Syria. Wagner has recruited thousands of veterans of the Syrian civil war, mostly men who fought on behalf of the Syrian government and defeated ISIS, Al-Qaeda and the FSA. These men have incredible combat experience against terrorists. Syria is one of the first places where Wagner proved its combat superiority to the whole world. Without their efforts, the Syrian president would’ve gotten the Gaddafi treatment from the west a long time ago. But he prevailed. Thanks to RUSSIA and its elite fighting force, Wagner PMC.

Upon arriving Niger, Wagner had reportedly told the new Nigerien administration never to worry about any foreign army on Niger soil and specifically assured the leadership that Wagner will take on the Americans head on, if they ever dare to get involved in the conflict with ECOWAS, or try to deploy their drones.

Not sure if this threat is in anyway connected with America’s sudden readiness to evacuate two of its drone bases in Niger. The US maintains in Niger a large base of reconnaissance drones operating across AFRICA, Europe and the Middle East, as well as about 500 troops. France maintains a little over 1,200 soldiers in Niger.

At the moment, there are about 5,000 RUSSIAN funded volunteer fighters in AFRICA: They are mainly active in Mali, Libya, Sudan, Central African Republic, Mozambique and the Democratic Republic of Congo.

As reported earlier, Wagner will undertake the protection of the presidential palace in Niamey and the main infrastructures of the country potentially threatened by the impending Nigerian-led military action. With a personnel capacity of about 230,000 men, Nigeria is expected to contribute far more soldiers to the operation than any other country in the bloc. However the two countries with the strongest armies in AFRICA, Egypt and Algeria have warned against any military intervention in Niger, and vowed they’ll not stand idly and let that happen.

Reportedly, the morale of Niger’s military personnel is at an all time high right now, given that nearly the entire population of Niger are in support of the military and thousands have reportedly signed up to fight with the Russian volunteer force, Wagner PMC, in defense of their homeland.

20230820_085833.jpg
 
BREAKING: A Russian plane has landed in Niger capital, Niamey, carrying hundreds of Wagner fighters it allegedly picked up from Syria. Wagner has recruited thousands of veterans of the Syrian civil war, mostly men who fought on behalf of the Syrian government and defeated ISIS, Al-Qaeda and the FSA. These men have incredible combat experience against terrorists. Syria is one of the first places where Wagner proved its combat superiority to the whole world. Without their efforts, the Syrian president would’ve gotten the Gaddafi treatment from the west a long time ago. But he prevailed. Thanks to RUSSIA and its elite fighting force, Wagner PMC.

Upon arriving Niger, Wagner had reportedly told the new Nigerien administration never to worry about any foreign army on Niger soil and specifically assured the leadership that Wagner will take on the Americans head on, if they ever dare to get involved in the conflict with ECOWAS, or try to deploy their drones.


View attachment 2722393
Naona wamesahau walivyodundwa na Wanarekani hapo Syria.
 
Back
Top Bottom