Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,741
Mkuu labda anazungumzia vita kati ya Iran na Iraq, katika mapigano hayo Merikani ilikuwa inam-support Saddam Hussein(IRAQ).Mkuu tusaidie ,Iran ilisaidiwa na Marekani katika vita vya Ghuba,unajua vita ya ghuba ilikua kati ya nchi gani na nchi gani?