Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Huyu ni Gembe yule yule au aliacha laptop yake huku email yake ikiwa wazi so mtu akatuma hii post???????kama ni wewe Gembe original ushajua mwenyekiti wako wa Taifa ni msanii,unafikiria nini 2010?nami sasa naanza kukubaliana na ule msemo wa Nyani Ngabu
Mr kiroboto, huu ndio ukomavu humu JF, wote tunapaswa kuwa kama Gembe. Kwa kweli si lazima mtu awe anajadili kuelekea upande ule ule siku zote. Hongera sana Gembe, na wengine waige