Elections 2010 I'm done with Kikwete! - Say NO to Second Term!

Haya maneno ni Njabu Ngabu ndiye aliyependelea kuyatumia sana kwenye mabandiko yake.

Njabu Ngabu ndie huyu huyu Self Scientific aka Nyama Hatari aka Jokofu Kiwete aka VRS aka PuNyapu Ngabu.....Mods mfungieni huyu jamaa kabla hajaharibu humu..........
 
Nothing. I am only interested in knowing what you mean exactly by

wewe umeuliza '' kama hakuna aliyeweza kumkamata mkapa, abasi atawezaje kumkamata mh. Kikwete? '' na umeongezea kuhusu Dk. Slaa na kadhalika, je umekwishawauliza watu hao ( Slaa & n.k ) na wakakueleza nini wanachotarajia?

katika watanzania milioni 40 wewe ni miongoni mwao , na ni wajibu wako kutekeleza wajibu. kipi ambacho umekwishaanza ?
 
Njabu Ngabu ndie huyu huyu Self Scientific aka Nyama Hatari aka Jokofu Kiwete aka VRS aka PuNyapu Ngabu.....Mods mfungieni huyu jamaa kabla hajaharibu humu..........
hahahahaaaa kuna post zinaniua mbavu.......Nyama hatari hakatizi kwa Nyani Ngabu....
 
wewe umeuliza '' kama hakuna aliyeweza kumkamata mkapa, abasi atawezaje kumkamata mh. Kikwete? '' na umeongezea kuhusu Dk. Slaa na kadhalika, je umekwishawauliza watu hao ( Slaa & n.k ) na wakakueleza nini wanachotarajia?

katika watanzania milioni 40 wewe ni miongoni mwao , na ni wajibu wako kutekeleza wajibu. kipi ambacho umekwishaanza ?

Hapana. Hilo nitamwuliza Dr. Slaa hata kesho. Ila kwa sasa naomba ufafanue nini haswa ulitaka kumaanisha kwa kauli yako ifuatayo hapa chini:

It is possible to start from the bottom to the top
.
 
Ewalaah! Swadaktaah! Alhamdulilaah! Takbiru alaah walibaahlu! Ila naona umesahau the constructive part of your criticism. Sasa baada ya kunena maneno mazito yenye jazba kubwa kama hayo; jee una ushauri gani kuhusu pendekezo au mapendekezo ya suluhisho la malalamiko uliyo nayo dhidi ya Kikwete na serikali yake?

Kama wewe pia unaona huu uozo, unyonyaji na ukandamizaji unaofanywa na viongozi wa Tz kwanini usichukue hatua, na kufungua kesi au kufanya lolote unaloweza kwenye uelekeo huo? Unakaa ku-criticise maoni ya mwenzio. It is very easy to do that. What have YOU done or achieved?
 
Kichwangumu,
Heshima mbele mkuu, naungana na wewe kuhusu uanzishwaji wa radio.Ni njia hiyo ambayo itakayowaelemisha watanzania kuondokana na mitizamo finyu. Ikianzishwa radio hiyo ya kuwajaza uzalendo na kujua haki zao za kiraia ndio utakuwa mwisho wa siasa hizi za kulindana na kuwakomboa wananchi na wimbi lililowanzunguka fikra mgando za kiuchumi na kisiasa. Radio iunganishwe vilevile kwenye internet ili ipate michango ya mawazo kutoka kwa wapenda maendeleo wote.
Mimi binafsi nimeanza kuwa na wasiwasi na vikundi hivi vya mafia za kisiasa kwama ilivyo kule Russia.Chini ya uongozi wa Yelsin ilikuwa mafia iliyopata utajiri kupitia ubinafsisaji holela wa mafuta.Ile mafia ya mafuta imekuwa overtaken na mafia ya Military-industrial complex ndo maana sasa hivi ndio hayo mapigano tunayoyaona Georgia. Hili niangalizo huenda hizo forces zinatunyemelea
 
Kichwangumu,
Heshima mbele mkuu, naungana na wewe kuhusu uanzishwaji wa radio.Ni njia hiyo ambayo itakayowaelemisha watanzania kuondokana na mitizamo finyu. Ikianzishwa radio hiyo ya kuwajaza uzalendo na kujua haki zao za kiraia ndio utakuwa mwisho wa siasa hizi za kulindana na kuwakomboa wananchi na wimbi lililowanzunguka fikra mgando za kiuchumi na kisiasa. Radio iunganishwe vilevile kwenye internet ili ipate michango ya mawazo kutoka kwa wapenda maendeleo wote.
Mimi binafsi nimeanza kuwa na wasiwasi na vikundi hivi vya mafia za kisiasa kwama ilivyo kule Russia.Chini ya uongozi wa Yelsin ilikuwa mafia iliyopata utajiri kupitia ubinafsisaji holela wa mafuta.Ile mafia ya mafuta imekuwa overtaken na mafia ya Military-industrial complex ndo maana sasa hivi ndio hayo mapigano tunayoyaona Georgia. Hili niangalizo huenda hizo forces zinatunyemelea
 

Invisible unaona huyu jamaa? Unaona lugha alotumia? Mfungie, kwanza nadhani alifungiwa kwa siku si chini ya saba lakini kajiandikisha tena kwa jina jingine na kwa kufanya hivyo amekiuka adhabu yake. Fall on him like a ton of bricks.

Na wewe Nyama Hatari, mimi sina haja ya kujibu kila aina ya pumba, ujinga, na utumbo unaoandika kuhusu mimi au majina yote unayoniita.
 
Last edited by a moderator:
Watanzania Wenzangu,

Baada ya Muungwana kumaliza kusoma Bajeti yake,Mzee Mwanakijiji alitoa rai ya kusita kuandika tena hapa JF mpaka hapo mtu mwingine atakapofikisha post 11,000.Ila baadaye Mzee Mwengangu alirudi na kuendelea kuandika sababu ya uchungu aliokuwa nao kwa ajili ya watanzania wote.Nampongeza kwa hilo!

Toka Muungwana amalize Hotuba ile nimekuwa nikipitia kila kipengele cha hotuba ya masaa manee aliyoyasoma Muungwana,wakati huo huo nikilinganisha na hotuba mbali mbali za wizara za serikali.Alichokizungumza kuhsu kilimo,Madini,maji,mazingira na khali ya uchumi wa nchi hakuna tofauti na kile walichozungumza Mawaziri.

Ukiangalia kwa undani zaidi,watu hawkutegemea hotuba ya namna hii,hata mimi mwnaa CCM nilichukizwa nayo,siyo tu kwasababu ya urefu wa hotuba ile bali mambo yaliyozungumziwa mle ndani.mkulu alishindwa kutupa maji ili kupoza kiu tulichonacho.Hii inasikitisha sana na hasa maneno kama haya kuwa yeye ni Tumaini lilolerejea.

Nimefikira sana,inaonesha Mkuu hana uwezo wa kutatua mambo magumu,ameshindwa kutuambia ni lini bei ya mafuta itashuka ili tuweze kuwa kama nchi jirani za kenya na rwanda.AMeshindwa kusemea kusitishwa kununuliwa kwa magari ya kifahari ili khali walimu wakishindwa kulipwa mishahara yao.

Watanzania wenzangu,kipindi flani niliwahi kuhisi na kukubali kiaina kuwa yawezekana Muungwana anadanganywa na wasaidizi wake ila ana dhamira nzuri kwa watanzania ,na hii niliijenga baada ya yeye kuzoea kutuzuga na maneno haya "Tanzania yenye neema inawezekana".Toka Suala la RDC Niliweza kugunduayeye ndiye anatudanganya sisi na wala siyo wasaidizi wake.Mkulu amsehindwa kutupa majibu ya maswali rahisi sana,

1.Je nini kitafuata baada ya mkataba wa DOWANS kuvunjwa?
2.Je baada ya kamati ya madini kuamliza kazi yake,ni lini mikataba hii itafanyiwa kazi na kunufaisha watanzania?
3.Waliohusika na RDC watachukuliwa hatua zipi za kisheria,Hasa Nationa Negotiation team?(Mawazo ya kina Mwakyembe yametupwa??)


Tumekuwa watu wa kuzugwa kwa kutumia kamati ambazo kila siku zinaendelea kutafuna pesa yetu na ripoti hazifanyiwi kazi.Kamati hivi zinatumia pesa nyingi sana na watu huwa wanalipwa kwa siku wastani wa sh. 400,000 hadi 500,000 kwa ajili ya vikao vya kamati huku wakikaa katika hoteli za kifahali maneno ya bagamoyo.Kamati zinafanya kazi ila HATUA hazichukuliwi.Tuliona tume ndogo tu ya miezi mitatu ya kesi ya kina malima na Mengi ilitumia zaidi ya milioni 100.Je kamati za miezi sita hutumia kiasi gani?

Mwaka Jana nilipokuwa Bungeni,niliwahi kumuuliza kiongozi mmoja wa wizara moja ya serikali,Je ni kiasi gani huwa kinatumika kwa jili ya wizara kuja kuwasilisha bajeti.Yaani kuanzia maandalizi hadi sherehe ya mwisho bajeti imepitishwa.Aliniambia ni zaidi ya milion 600.Je kuna wizara ngapi?hizo ni takribani ya bilioni 30 ukijumlisha na posho za wabgune hutumika kwa akili ya kikao kimoja tu cha bajeti.unadhani kiasi gani cha pesa kinapotea?Ndiyo kuna umuhimu,ila kuna haja gani ya kutumia pesa zote hizi..basi tuwe na kikao kimoja cha bajeti kila bada ya miaka 3!

Tumekuwa waoga sana,tumekuwa wavumilivu wajinga tusitaka kuchukua hatua za kufanya,saa ya ukombozi ni sasa na ingekuwa vyema tukaandamana na kumuunga mkono spika ya kuwa wahujumu uchumi hawatakiwi kuonewa Huruma hata kama ni rafiki zake na Mkulu.Tayari Mkulu ameoneshwa kuchukizwa kwake na spika kufanya majumuisho ya hotuba yake kwa muda wa dakika kumi.Wachunguzi wa mabo wanaelezea pia hata kauli ya spika kutoa mwanya kwa wabunge kuijadili hotuba hiyo kumezua mgongano mkubwa katia ya spika na serikali.Serikali inahoji kwanini wabunge WAJADILI mambo yaliyosemwa na Mkuu wa nchi?

Tumeshakata tamaa vya kutosha,na sasa ni wakati wa kuchukua HATUA ili kuikomboa nchi yetu,tutumie sanduku la kura kuweka viongozi makini na walio na uchungu na nchi yetu.Hii changamoto ianzie katika vyama vyetu kwa kuwakata wale wote wasiyo na machungu na nchi yetu na tuwape wale wanaotaka kufanya yale tuyatakayo.Tutoke kuzimu na tuache kuwa mazezeta hata kama wanatuona mandondocha.

Yes I have said,ni bora kuishi bila yeye ,sababu ameshindwa kutupa yale tuyatakayo.chukua HATUA kwa kuanza kujipanga mapeama sasa ili tumpate yule tumtakaye.tutumie njia iliyo sahihi na ambayo ni haki yetu.WE SHOULD STOP TO MONITOR OUR GOVERNEMENT AND START PARTICIPATING IN CHANGING OUR COUNTRY.

Nasita kuandika mpaka pale uchaguzi wa TARIME utakapoaanza,ki -ukweli Jk ameniangusha sana kwa kushindwa kuchukua HATUA kwa watu wa EPA.Nitaendelea kuwa msomaji tu huku nikitafakari 2010.


 
Watanzania Wenzangu,

Baada ya Muungwana kumaliza kusoma Bajeti yake,Mzee Mwanakijiji alitoa rai ya kusita kuandika tena hapa JF mpaka hapo mtu mwingine atakapofikisha post 11,000.Ila baadaye Mzee Mwengangu alirudi na kuendelea kuandika sababu ya uchungu aliokuwa nao kwa ajili ya watanzania wote.Nampongeza kwa hilo!

Toka Muungwana amalize Hotuba ile nimekuwa nikipitia kila kipengele cha hotuba ya masaa manee aliyoyasoma Muungwana,wakati huo huo nikilinganisha na hotuba mbali mbali za wizara za serikali.Alichokizungumza kuhsu kilimo,Madini,maji,mazingira na khali ya uchumi wa nchi hakuna tofauti na kile walichozungumza Mawaziri.

Ukiangalia kwa undani zaidi,watu hawkutegemea hotuba ya namna hii,hata mimi mwnaa CCM nilichukizwa nayo,siyo tu kwasababu ya urefu wa hotuba ile bali mambo yaliyozungumziwa mle ndani.mkulu alishindwa kutupa maji ili kupoza kiu tulichonacho.Hii inasikitisha sana na hasa maneno kama haya kuwa yeye ni Tumaini lilolerejea.

Nimefikira sana,inaonesha Mkuu hana uwezo wa kutatua mambo magumu,ameshindwa kutuambia ni lini bei ya mafuta itashuka ili tuweze kuwa kama nchi jirani za kenya na rwanda.AMeshindwa kusemea kusitishwa kununuliwa kwa magari ya kifahari ili khali walimu wakishindwa kulipwa mishahara yao.

Watanzania wenzangu,kipindi flani niliwahi kuhisi na kukubali kiaina kuwa yawezekana Muungwana anadanganywa na wasaidizi wake ila ana dhamira nzuri kwa watanzania ,na hii niliijenga baada ya yeye kuzoea kutuzuga na maneno haya "Tanzania yenye neema inawezekana".Toka Suala la RDC Niliweza kugunduayeye ndiye anatudanganya sisi na wala siyo wasaidizi wake.Mkulu amsehindwa kutupa majibu ya maswali rahisi sana,

1.Je nini kitafuata baada ya mkataba wa DOWANS kuvunjwa?
2.Je baada ya kamati ya madini kuamliza kazi yake,ni lini mikataba hii itafanyiwa kazi na kunufaisha watanzania?
3.Waliohusika na RDC watachukuliwa hatua zipi za kisheria,Hasa Nationa Negotiation team?(Mawazo ya kina Mwakyembe yametupwa??)


Tumekuwa watu wa kuzugwa kwa kutumia kamati ambazo kila siku zinaendelea kutafuna pesa yetu na ripoti hazifanyiwi kazi.Kamati hivi zinatumia pesa nyingi sana na watu huwa wanalipwa kwa siku wastani wa sh. 400,000 hadi 500,000 kwa ajili ya vikao vya kamati huku wakikaa katika hoteli za kifahali maneno ya bagamoyo.Kamati zinafanya kazi ila HATUA hazichukuliwi.Tuliona tume ndogo tu ya miezi mitatu ya kesi ya kina malima na Mengi ilitumia zaidi ya milioni 100.Je kamati za miezi sita hutumia kiasi gani?

Mwaka Jana nilipokuwa Bungeni,niliwahi kumuuliza kiongozi mmoja wa wizara moja ya serikali,Je ni kiasi gani huwa kinatumika kwa jili ya wizara kuja kuwasilisha bajeti.Yaani kuanzia maandalizi hadi sherehe ya mwisho bajeti imepitishwa.Aliniambia ni zaidi ya milion 600.Je kuna wizara ngapi?hizo ni takribani ya bilioni 30 ukijumlisha na posho za wabgune hutumika kwa akili ya kikao kimoja tu cha bajeti.unadhani kiasi gani cha pesa kinapotea?Ndiyo kuna umuhimu,ila kuna haja gani ya kutumia pesa zote hizi..basi tuwe na kikao kimoja cha bajeti kila bada ya miaka 3!

Tumekuwa waoga sana,tumekuwa wavumilivu wajinga tusitaka kuchukua hatua za kufanya,saa ya ukombozi ni sasa na ingekuwa vyema tukaandamana na kumuunga mkono spika ya kuwa wahujumu uchumi hawatakiwi kuonewa Huruma hata kama ni rafiki zake na Mkulu.Tayari Mkulu ameoneshwa kuchukizwa kwake na spika kufanya majumuisho ya hotuba yake kwa muda wa dakika kumi.Wachunguzi wa mabo wanaelezea pia hata kauli ya spika kutoa mwanya kwa wabunge kuijadili hotuba hiyo kumezua mgongano mkubwa katia ya spika na serikali.Serikali inahoji kwanini wabunge WAJADILI mambo yaliyosemwa na Mkuu wa nchi?

Tumeshakata tamaa vya kutosha,na sasa ni wakati wa kuchukua HATUA ili kuikomboa nchi yetu,tutumie sanduku la kura kuweka viongozi makini na walio na uchungu na nchi yetu.Hii changamoto ianzie katika vyama vyetu kwa kuwakata wale wote wasiyo na machungu na nchi yetu na tuwape wale wanaotaka kufanya yale tuyatakayo.Tutoke kuzimu na tuache kuwa mazezeta hata kama wanatuona mandondocha.

Yes I have said,ni bora kuishi bila yeye ,sababu ameshindwa kutupa yale tuyatakayo.chukua HATUA kwa kuanza kujipanga mapeama sasa ili tumpate yule tumtakaye.tutumie njia iliyo sahihi na ambayo ni haki yetu.WE SHOULD STOP TO MONITOR OUR GOVERNEMENT AND START PARTICIPATING IN CHANGING OUR COUNTRY.

Nasita kuandika mpaka pale uchaguzi wa TARIME utakapoaanza,ki -ukweli Jk ameniangusha sana kwa kushindwa kuchukua HATUA kwa watu wa EPA.Nitaendelea kuwa msomaji tu huku nikitafakari 2010.



Huyu ni Gembe yule yule au aliacha laptop yake huku email yake ikiwa wazi so mtu akatuma hii post???????kama ni wewe Gembe original ushajua mwenyekiti wako wa Taifa ni msanii,unafikiria nini 2010?nami sasa naanza kukubaliana na ule msemo wa Nyani Ngabu
 
Pamoja na utumbo mtupu uliotukerehesha majority tuliokuwa tunasikiliza, na maneno mengi yaliyokosa attention ya walengwa, leo wana CCM wa DSM wameandamana kuunga mkono hotuba. Kitendo hiki kimenikatisha tamaa zaidi kuwa watanzania wengi wana macho lakini hawaoni, hawajasikia kuwa mafisadi wa EPA wapo huru, hawajui kuwa mafisadi wa RDC wapo huru, hawana habari kuwa kuna miradi na makampuni hewa ya meremeta, mwananchi goldmin n.k. Wabunge nao wamesema wataijadili hotuba hiyo, sijui watajadili nini nitafurahi zaidi kama wataendeleza ile dozi aliyoianzisha Spika Sita.
 
- jee ni kweli hoja zitolewazo humu sasa zimekuwa
mithili ya kelele za mlango?
- kama huu ndio ukweli kwa nini hali imekuwa hivi?
- je yawezekana wasioitakia mema nchi yetu wameng'amua
kwamba hoja nzito zitolewazo humu jamvini haziwafikii wana
wa nchi wengi? na hata wale wachache zinapowafikia huwa
hawana jinsi bali kusononeka tuu?

fmes amesema haya

[quote/] hotuba ya juzi ya Rais, binafsi imenihakikishia one thing kwamba sasa hivi we are not effective tena kama tulivyokuwa zamani, kumbuka huko nyuma hotuba zake zote muhimu kwa taifa alikuwa ni lazima alalmikie mtandao huu, kwa maneno ya ujanja ujanja ya ku-generelize ".......mambo yanayofanyika kwenye mitandao...." Hii ni mara ya kwanza ametuacha nje, ina maana hatuwakoseshi usingizi tena sasa hivi, sasa ni vyema kujaribu kutafuta mbinu mpya za kupigana ndani ya forum,

Hatutashindwa, tutashinda tu lakini sometimes ni vyema kukubali ukweli na kujiangalia na kujipanga upya! [/quote]

ni matumaini yangu kwamba wote waliosema wanaacha kuchangia watakuwa wanajipanga upya jinsi ya kuiwezesha nchi yetu kupiga hatua za maendeleo zenye manufaa kwa wananchi wote. ila kama wataacha kuchangia kwa kukata tamaa tu watakuwa wamewaangusha watanzania.
 
Tukiweza kulibadili BUNGE letu ifikapo 2010, mengi ya malalamiko yetu katika NCHI hii likiwemo hili la Rais "mbovu" litaweza kutatulika kirahisi kabisa tena kwa kutumia KATIBA hiihii tuliyonayo. Tunahitaji akina Dr. Slaa wengi waingie kwenye chombo hiki muhimu ili kuleta mabadiliko tunayoyahitaji.
 
Hata mimi nilishaamua kuachana na mambo ya kuandika maana naona tunatwanga maji tu hapa. Lakini kwa maneno mazito ya Kada wa CCM, ndugu Gembe, nitaendelea.
 
Gembe,Kitila,

..wamekuja na dili kwamba OIC itatuwezesha kununua mafuta kwa bei chee ya kutupa.

..hii inanikumbusha Mrema aliyedai amesafiri nje na kuja na deal ya kuuza kahawa kwa bei ya juu zaidi ya ile ya international market.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom