Nyunyu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2009
- 4,354
- 1,010
Ngoja MS arudi
Tehe tehe tehe........
MS kama anaona hii atajiunga kwa fake ID's!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja MS arudi
Have you ever read literature or Kiswahili wanaita fasihi?
Inabore sana unaporead listory lirefu lakini ambalo liko bias. Wewe unayejiita mchangaji (sijui wa kondoo anyway) unaposema watu wavijijini wanaishi chini ya dola moja, unamaanisha wameanza kuishi tu kipindi cha Kikwete? Ukiacha Richmond, hao akina meremeta, tangold, Epa, BOT twin towers, alex and stewart, ndege ya rais, rada, helkopta za jeshi, kuuza nyumba za serikali, kiwira na mengine mengi yote yalitokea kipindi cha Kikwete? Mbona kipindi hicho yanafanyika hayajaibuliwa ila yameibuliwa kipindi chake tu as if yamefanyika kipindi chake? Hiyo yenyewe richmond imedumu muda gani kabla ya kuibuliwa, Utalingani na mengine hayo niliyoyataja hapo juu?
Nyie watu mna yenu mambo tu na sibure. mijitu mingine bana. yanaudhi. Lakini sasa wadanganyika wameamka japo si wote na hivi karibuni wainuka wote. Nasema hivi patakuwa hapatoshi. they are tired with thid stupid calculation.
kwanza hatakiwi kulinganisha maisha ya kiuchumi ya nchi moja kwa hela ya nchi nyingine. $1 ukiwa TZ (shiling elfu mia tano) nguvu yake ni tofauti na dola moja ukiwa US. Unakula Ugali, Nyama na soda ya mia tano kijijini au kwa Mama Ntilite ukiwa na tenga jelo,US utakula chakula na kinywaji kwa $1?kipato cha cha sikukuwa chini ya Dola moja ya kimarekani
...unaposema watu wavijijini wanaishi chini ya dola moja
kwanza hatakiwi kulinganisha maisha ya kiuchumi ya nchi moja kwa hela ya nchi nyingine. $1 ukiwa TZ (shiling elfu mia tano) nguvu yake ni tofauti na dola moja ukiwa US. Unakula Ugali, Nyama na soda ya mia tano kijijini au kwa Mama Ntilite ukiwa na tenga jelo,US utakula chakula na kinywaji kwa $1?
... Dollar per day is the SI unit katika somo la uchumi
Pamoja na yote haya Kikwete atashinda kwa landslide 2010.