Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Hivi kwa nini asiseme tu kuwa hakubaliani nalo hilo jambo?
Halafu yeye malipo yake ni shi'ngapi?
Thubutu!? Iliwampigie kura ya kutokuwa na imani naye aachie ngazi? Never ! Aliponea chupuchupu lile suala la Jairo kwa hiyo wabunge lazima awaheshimu sana.