Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,906
- 59,868
Anajaribu kujifanya hakua amekubali ili kupumbaza watu baada ya kuona moto wa madaktari hauelekei kuzimika wala kufifia. Na kwa hilo hawezi kumchukulia MP hatua kwasababu aliyoyasema mapema jana ni kweli, muda tu ndio haukua mzuri kutangaza.
RIP Tanzania!!
RIP Tanzania!!