Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
roho yangu iko mikononi mwa wabungeUsijinyonge jamaa yangu
roho yangu iko mikononi mwa wabungeUsijinyonge jamaa yangu
Wabunge wanaodhani posho ni ndogo na hawawezi kutimiza wajibu wao wajiuzulu! Kwani nafasi ya Ubunge ni nafasi ya uwakilishi na si biashara ambayo madhumuni yake kupata income kubwa au faida kama wanavyotaka ndugu zetu hawa!
Kuna watu kibao ambao wanaweza kutuwakilisha kwa moyo thabiti na kwa nguvu zao zote bila hata kudai kulipwa pesa lukuki kama ilivyo hivi sasa!
Kwa mwenendo wao wa sasa tumewafaham kwamba hawana nia thabit na wala kuguswa na matatizo halisi ya raia wa kawaida na ndio maana hata kwenye tatizo hili kubwa la watu kupoteza maisha kutokana na mgomo wa madaktari, kutoonyesha kuguswa kwa kuwa wao ni wana Appollo na si watu wanaofanana na sisi.
Tunawaomba waachie ngazi ili wakafanye biashara zitakazowalipa Returns kubwa na kuacha hizi nafasi za uwakilishi kwa watu wataoshirikiana na wananchi wa kawaida bila kudai ujira usifanana na shughuri zao!
Kweli hiyo avatal inatuchafua wazee wa Msimbazi....waambie waipige bann avatal ila jamaa wamwache tu....ahahahaaaaangoja niongee na mods hii avator ifutwe
Sheria ya muundo wa mikopo kwa watumishi wa Umma Kama walivyo wabunge haimruhusu mtumishi kukopa zaidi ya asilimia 60 ya kusanyo la Mshahara wake. Sasa iweje wakwetu hawa watungasheria wakope hadi pitilizo la furushi Lao la mwezi? au wanathibitisha kile kimsemo laini kwamba mtunga sheria ndiye mkanyaga sheria hiyo hiyo aliyojitungia.. !!