arabianfalcon
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,285
- 584
Katika taarifa ya habari ya saa mbili usiku kurugenzi ya habari yasema kuwa rais kikwete hajabariki posho za wabunge.hivi mtoto wa mkulima ni nani alimtuma kusema kuwa rais kabariki posho za wabunge.pole mtoto wa mkulíma umekuwa mbuzi wa kafara.bora tu urudi katavi ukafuge kuku.jamani hii iko vp?
Wamegeuka Samaki walana wao kwa wao.