Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Ha kumbe ana mke!! mweleze mumeo.
he!....ina maana kama jamaa alikuwa hana mke ni ruksa?....
heri ya mwaka mpya
Ha kumbe ana mke!! mweleze mumeo.
Sio dhharau ila nimeshangazwa na ujasiri wake lakini wewe Sweetlady mbona unakuwa mkali leo jumapili?? Pole kama nimekuudhi kumtaja houseboy!!!!
dah nilikuwa sijakustukia. dah hako ka avatar hako! acha nikakopi and pastenikikukamata wewe.......
Kama ukweli unao wewe na ndio muhusika haya bana sibishani na wewe sababu mie ndo najua nachoongea kwa mtazamo wako kama ni hivyo poa
Ok. Km vp mfkuze then h'band akiulza mwleze ukwel. Au mwambie kwnz kabla hujamtimua. Kuna cku utabak mwnyewe akubake manake keshakutaman so hawez kuacha.
hehehe huyu kidogo anaeleweka. halafu at least katongozwa mashambani huko. lakini yule kule anamtamani baba mkwe laivu bana mpaka ukumbini. hakyanani kesho tunaandamana.mmmhhh
afadhali hata si baba mkwe..
hehehe huyu kidogo anaeleweka. halafu at least katongozwa mashambani huko. lakini yule kule anamtamani baba mkwe laivu bana mpaka ukumbini. hakyanani kesho tunaandamana.
kwa sababu m2 kamtaman ba mkwe wke. Ww unaona ni sawa kwel?? Ntashrik maandamano, yataanzia wp na sa ngp?Kuandamana kwanini tena???
kupinga hii tabia iliojitokeza kule kwenye sredi nyengine. binti kutaka kuonjana na baba wakwe zao.Kuandamana kwanini tena???
Sayitaa!!!! Najua wewe muiraqw. Dena kapotelea wapi aisee