sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
jaman taratib basii. Una2sh2a wengne 2na puresha za kushuka 2kiona m2 kakacrka kias hk! Angalia 2much hacra hupelekea kithukar kschopona. Tabasam japo kdgo bas coz leo ni j2!
mhhh! this is rubish, wee mwanamke unakuja kuomba ushauri hapa jamvini? yaani humuamini mumeo mnayelala kitanda ki1 na kushea mambo yote, unakuja kutusumbua hapa!? labda umekosana na mume wako ndo tungekusaidia lakini unatongozwa na houseboy unakuja kutuomba ushauri! kweli wanawake tuliambiwa tuwapende kwa akili!!!
wakati mwingine lazima tuwe wakali sio kila kitu tuu tuwarembe watu kama hawa, mama Desidii unekosea sana... kumficha mume wako mpaka sasa hivi.. mh na sasa baada ya houseboy kukuambia hivyo ulijibu nn?.... kweli kichekesho
My take:
Umepoteza thamani mbele ya Mfanyakazi wako! anakuwa huru mpaka kuomba mzini uuuuwiiiiiii!!!!?
Ushauri:
Haraka leo jioni mwambie Mume wako, na umshari mume wako mumfukuze haraka sana, hafai, hafai, ndiooo hafai kabisa, na iwe fundisho kwako jenga heshima kwa wafanyakazi wako, hapo umeshapoteza heshima yakoooooo!!
Inanitia hasira hii!!!