Houseboy

Status
Not open for further replies.
jaman taratib basii. Una2sh2a wengne 2na puresha za kushuka 2kiona m2 kakacrka kias hk! Angalia 2much hacra hupelekea kithukar kschopona. Tabasam japo kdgo bas coz leo ni j2!
mhhh! this is rubish, wee mwanamke unakuja kuomba ushauri hapa jamvini? yaani humuamini mumeo mnayelala kitanda ki1 na kushea mambo yote, unakuja kutusumbua hapa!? labda umekosana na mume wako ndo tungekusaidia lakini unatongozwa na houseboy unakuja kutuomba ushauri! kweli wanawake tuliambiwa tuwapende kwa akili!!!

wakati mwingine lazima tuwe wakali sio kila kitu tuu tuwarembe watu kama hawa, mama Desidii unekosea sana... kumficha mume wako mpaka sasa hivi.. mh na sasa baada ya houseboy kukuambia hivyo ulijibu nn?.... kweli kichekesho

My take:
Umepoteza thamani mbele ya Mfanyakazi wako! anakuwa huru mpaka kuomba mzini uuuuwiiiiiii!!!!?

Ushauri:
Haraka leo jioni mwambie Mume wako, na umshari mume wako mumfukuze haraka sana, hafai, hafai, ndiooo hafai kabisa, na iwe fundisho kwako jenga heshima kwa wafanyakazi wako, hapo umeshapoteza heshima yakoooooo!!

Inanitia hasira hii!!!
 
mhhh! this is rubish, wee mwanamke unakuja kuomba ushauri hapa jamvini? yaani humuamini mumeo mnayelala kitanda ki1 na kushea mambo yote, unakuja kutusumbua hapa!? labda umekosana na mume wako ndo tungekusaidia lakini unatongozwa na houseboy unakuja kutuomba ushauri! kweli wanawake tuliambiwa tuwapende kwa akili!!!

wakati mwingine lazima tuwe wakali sio kila kitu tuu tuwarembe watu kama hawa, mama Desidii unekosea sana... kumficha mume wako mpaka sasa hivi.. mh na sasa baada ya houseboy kukuambia hivyo ulijibu nn?.... kweli kichekesho

My take:
Umepoteza thamani mbele ya Mfanyakazi wako! anakuwa huru mpaka kuomba mzini uuuuwiiiiiii!!!!?

Ushauri:
Haraka leo jioni mwambie Mume wako, na umshari mume wako mumfukuze haraka sana, hafai, hafai, ndiooo hafai kabisa, na iwe fundisho kwako jenga heshima kwa wafanyakazi wako, hapo umeshapoteza heshima yakoooooo!!

Inanitia hasira hii!!!

we tulia kidogo...
 
mhhh! this is rubish, wee mwanamke unakuja kuomba ushauri hapa jamvini? yaani humuamini mumeo mnayelala kitanda ki1 na kushea mambo yote, unakuja kutusumbua hapa!? labda umekosana na mume wako ndo tungekusaidia lakini unatongozwa na houseboy unakuja kutuomba ushauri! kweli wanawake tuliambiwa tuwapende kwa akili!!!

wakati mwingine lazima tuwe wakali sio kila kitu tuu tuwarembe watu kama hawa, mama Desidii unekosea sana... kumficha mume wako mpaka sasa hivi.. mh na sasa baada ya houseboy kukuambia hivyo ulijibu nn?.... kweli kichekesho

My take:
Umepoteza thamani mbele ya Mfanyakazi wako! anakuwa huru mpaka kuomba mzini uuuuwiiiiiii!!!!?

Ushauri:
Haraka leo jioni mwambie Mume wako, na umshari mume wako mumfukuze haraka sana, hafai, hafai, ndiooo hafai kabisa, na iwe fundisho kwako jenga heshima kwa wafanyakazi wako, hapo umeshapoteza heshima yakoooooo!!

Inanitia hasira hii!!!

Hizi hasira zote ni za nini??? Mbona kauliza tu kupata ushauri? Umepewa ushauri ukamtimue houseboy wako dada pole kwa yote
 
Watu siku hizi weshakufa wadudu tu. Anaweza ikawa hajampa nafasi wala nini na jamaa akamwambia ya kumwambia.

Kwani si kila siku tunayaona makazini na majiani?

Mwambie husband wako amtimue habari ishe.

Kuna ukweli ndani yake inawezekana kabisa hata hajampa nafasi lakini kamwambia. Ok cha msingi amtimulie mbali huko
 
sayu desi..
Dena alienda imboru atarudi kesho lol
mmmmhhh nipe story
house boy ni wale vijana watanashati wenye nywele naisori wa kiiraq
hahahah lol

mh,huwa wanavutia sana wairaqw na nywele zao na wanajipenda.,
 
Hizi hasira zote ni za nini??? Mbona kauliza tu kupata ushauri? Umepewa ushauri ukamtimue houseboy wako dada pole kwa yote

Unajua Dena, challenges and harsh critiqes are there to harden us!! dont worry anakomaa haivyo!!
 
sayu Desi..
Dena alienda imboru atarudi kesho lol
mmmmhhh nipe story
house boy ni wale vijana watanashati wenye nywele naisori wa kiiraq
hahahah lol

Nipo tayari mjini lakini mtandao unasumbua kidogo will be online kesho.

Huyu Desi katoka wapi tena wajameni?? 2007 halafu kakaa kimya mpaka leo.
 
Haya mama natulia kidogo lakini lazima tusema bana... hii haijakaaa sawa hata kidogo!!

nakubaliana nawe haijakaa sawa kabisa...
lakini ka sema kachanganyikiwa ..
kwa hiyo anahitaji maoni yetu cha kufanya..
uzuri bado hajachukua hatua yeyote mbele "hakufanya nae mapenzi"

na mi naoan kumwambia mumeo sio solution kabisa...
hapo sana sana anaweza zaa balaa nyingine..
 
Desidii

Mkubalie tu m-do, who knows, anaweza kumzidi hata father-house katika majambozi!
 
Nipo tayari mjini lakini mtandao unasumbua kidogo will be online kesho.

Huyu Desi katoka wapi tena wajameni?? 2007 halafu kakaa kimya mpaka leo.

haya mway karibu tena
afadhali hata umerudi kipenzi changu...

mmmhh kuka legi nilikuwa sija ona huo mwaka..
nway alikuwa anasubiria wa aina yake tujitokese tokese
ili tumpige tafu kidogo
hahaahahahahh lol
 
Unaweza kwenda kazini baba mtu mzima na watoto na wajukuu, akamwaga sera zake kwako ukabaki mdomo wazi.

Kuna ukweli ndani yake inawezekana kabisa hata hajampa nafasi lakini kamwambia. Ok cha msingi amtimulie mbali huko
 
nafiikiri wewe ni mwanamke mwenye uwezo mdogo sana wa kuchukua maamuzi ya busara, yaani hauna busara kabisa. kama wewe umeolewa, na sio malaya, jambo kama hilo ni la kulifyatua mara moja asije akakufanya umtende Mume wako pamoja na Mungu dhambi...tatizo ni kwamba, wewe pia una tamaa ya kufanya naye uzinzi ndio maana uko njia panda, unataka na hautaki.....mume wako ana hasara sana kumpata mwanamke kama wewe!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom