Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
- Thread starter
- #61
Hivi logic ya kuweka visabuni vidogo namna ile ni nini? Kama ni gharama kwanini wasinunue limche la mbuni na kukata vipisi vidogo ili watuokolee ndoa zetu?.....biashara ya kujimwagia bia baada ya kutoka kuoga inakera sana asee.we acha tu....
nadhani kuna wanaume pochi nao wanaotumia vile visabuni aisee
Kwa umri huu mami, haya macho yameona na kushuhudia mengi.....sidhani kama kuna iliyonipita..........naikubali mama, ni niko tayari kwa lolote....Lini sasa?Hahaha...ushaijua style yenyewe au unakubali tu???Shauri lako!:tape:
Hahahaha.....Skulimeti bana, pale nakumbuka nilifumaniana na shemeji yangu ambaye ndiyo alipokea mahari wakati namuoa mdogo wake. Kwa kuwa ye ni mzee wa kanisa, alijikuta ananiita chemba na kuniambia YAISHIE HAPA HAPA KIUME!Skulimeti pale opposite na BM kuna "maficho" mazuri - Pale unapewa GEISHA!