Hongereni wajinga Wafuatao...kwa sikukuu yenu murua.

Asprin

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
68,012
95,352
WanaJF wanaotongoza wajukuu zangu kwa PM, hamjui nina pasiwedi za wajukuu wangu? Nawasikitikia sana.....nawajueni, iko siku ntawarusha hewani.

WanaJF wanaotumia ID na avatar za kike kumbe ni midume ya mbegu.....lengo lenu ni nini hasa?

Wana JF wanaokipinga chama chetu thabiti ISC- Sharing Is Caring

Wajukuu ambao bado hawajaja kwa babu kukaguliwa....yatkayowatokea shauri lenu..... njooni niwafanyie ukaguzi

Mashabiki wote wa Yanga ya Ilala, kwa kushabikia litimu libovu, kwanini msiishabikie klabu bingwa ya Tanzania?

Mashabiki wote wa Chelsii... kwa kufurahia kununuliwa kwa Torres Sick kwa bei ya Mitambo ya Dowans.

Wana JF ambao hawakupiga kura mwaka jana.....mgao wa umeme usingekuwepo

Wana JF wanaomega wake za wenzao......majinga sana nyie

Wajukuu ambao hawanitumii mimi Asprin wanapopata maumivu au ndugu yangu klorokwini kuondoa wadudu wa malaria wanaowanyefuanyefua.

Wale wote ambao hawaamini kuwa kitimoto kinaongeza CD4 mwilini, na kutokuamini kwao kunasababisha foleni kubwa kwa babu Loliondo.

Wale wote ambao hawaamini kuwa bia inaongeza maarifa, inaleta ujasiri, inaongeza damu mwilini, inaongeza kipato cha serikali na kuongeza kipaji cha kuongea kiinglishi.

Mwisho kabisa....we Dena Amsi kwa kutaka kuwafanya wajinga wanaMMU ambao mimi ndiyo mkurugenzi wao.....unamtishia nyau wakati una aleji na panya?


Nyie wooote hapo nawatakieni heri ya siku kuu yenu!....Msinikaribishe pilau lenu.

Babu wa wajukuu wa kike anarudi kitandani kulala.

(Imetolewa na uongozi wa Chama Cha Wasio Wajinga, JF Makao Makuu)
 
Oh!

Nlisahau na wale kinadada wa JF wanaomegwa afu wanakuja kusimulia hadharani jinsi walivyomegwa....utawekaje ufuska wako hadharani?
 
Oh!

Nlisahau na wale kinadada wa JF wanaomegwa afu wanakuja kusimulia hadharani jinsi walivyomegwa....utawekaje ufuska wako hadharani?

Na wote waliomegwa jana bila condom
Na wote waliomega bila bila
Na wote waliojinyakulia bar maid saa 6 usiku.
 
WanaJF wanaotongoza wajukuu zangu kwa PM, hamjui nina pasiwedi za wajukuu wangu? Nawasikitikia sana.....nawajueni, iko siku ntawarusha hewani.

WanaJF wanaotumia ID na avatar za kike kumbe ni midume ya mbegu.....lengo lenu ni nini hasa?

Wana JF wanaokipinga chama chetu thabiti ISC- Sharing Is Caring

Wajukuu ambao bado hawajaja kwa babu kukaguliwa....yatkayowatokea shauri lenu..... njooni niwafanyie ukaguzi

Mashabiki wote wa Yanga ya Ilala, kwa kushabikia litimu libovu, kwanini msiishabikie klabu bingwa ya Tanzania?

Mashabiki wote wa Chelsii... kwa kufurahia kununuliwa kwa Torres Sick kwa bei ya Mitambo ya Dowans.

Wana JF ambao hawakupiga kura mwaka jana.....mgao wa umeme usingekuwepo

Wana JF wanaomega wake za wenzao......majinga sana nyie

Wajukuu ambao hawanitumii mimi Asprin wanapopata maumivu au ndugu yangu klorokwini kuondoa wadudu wa malaria wanaowanyefuanyefua.

Wale wote ambao hawaamini kuwa kitimoto kinaongeza CD4 mwilini, na kutokuamini kwao kunasababisha foleni kubwa kwa babu Loliondo.

Wale wote ambao hawaamini kuwa bia inaongeza maarifa, inaleta ujasiri, inaongeza damu mwilini, inaongeza kipato cha serikali na kuongeza kipaji cha kuongea kiinglishi.

Mwisho kabisa....we Dena Amsi kwa kutaka kuwafanya wajinga wanaMMU ambao mimi ndiyo mkurugenzi wao.....unamtishia nyau wakati una aleji na panya?


Nyie wooote hapo nawatakieni heri ya siku kuu yenu!....Msinikaribishe pilau lenu.

Babu wa wajukuu wa kike anarudi kitandani kulala.

(Imetolewa na uongozi wa Chama Cha Wasio Wajinga, JF Makao Makuu)

Kumbe na wewe ni jinga!!!!???unakolifai kwenye kifungu ambacho hujaweka wazi hapo kwenye aya zako kuwa unataka kutangaza eti na wewe una KIKOMBE...
 
Na wote waliomegwa jana bila condom
Na wote waliomega bila bila
Na wote waliojinyakulia bar maid saa 6 usiku.

Hahahaah...mutu ya kunywa biya bila kumega.....we si mutu mujinga bana.....na wale wanopenda za kisukuma?
 
Kumbe na wewe ni jinga!!!!???unakolifai kwenye kifungu ambacho hujaweka wazi hapo kwenye aya zako kuwa unataka kutangaza eti na wewe una KIKOMBE...

Aisee mchumba nitake radhi...........

Sasa yule anayechumbiwa na jinga naye si anakuwa jinga zaidi?
 
Ha ha ha ha kumbe na wewe ni kundi la wajinga nimekupata

Karibu valuu tuzimue maana naona bado una hang'over
 
WanaJF wanaotongoza wajukuu zangu kwa PM, hamjui nina pasiwedi za wajukuu wangu? Nawasikitikia sana.....nawajueni, iko siku ntawarusha hewani.

WanaJF wanaotumia ID na avatar za kike kumbe ni midume ya mbegu.....lengo lenu ni nini hasa?

Wana JF wanaokipinga chama chetu thabiti ISC- Sharing Is Caring

Wajukuu ambao bado hawajaja kwa babu kukaguliwa....yatkayowatokea shauri lenu..... njooni niwafanyie ukaguzi

Mashabiki wote wa Yanga ya Ilala, kwa kushabikia litimu libovu, kwanini msiishabikie klabu bingwa ya Tanzania?

Mashabiki wote wa Chelsii... kwa kufurahia kununuliwa kwa Torres Sick kwa bei ya Mitambo ya Dowans.

Wana JF ambao hawakupiga kura mwaka jana.....mgao wa umeme usingekuwepo

Wana JF wanaomega wake za wenzao......majinga sana nyie

Wajukuu ambao hawanitumii mimi Asprin wanapopata maumivu au ndugu yangu klorokwini kuondoa wadudu wa malaria wanaowanyefuanyefua.

Wale wote ambao hawaamini kuwa kitimoto kinaongeza CD4 mwilini, na kutokuamini kwao kunasababisha foleni kubwa kwa babu Loliondo.

Wale wote ambao hawaamini kuwa bia inaongeza maarifa, inaleta ujasiri, inaongeza damu mwilini, inaongeza kipato cha serikali na kuongeza kipaji cha kuongea kiinglishi.

Mwisho kabisa....we Dena Amsi kwa kutaka kuwafanya wajinga wanaMMU ambao mimi ndiyo mkurugenzi wao.....unamtishia nyau wakati una aleji na panya?


Nyie wooote hapo nawatakieni heri ya siku kuu yenu!....Msinikaribishe pilau lenu.

Babu wa wajukuu wa kike anarudi kitandani kulala.

(Imetolewa na uongozi wa Chama Cha Wasio Wajinga, JF Makao Makuu)
to me, this is the post of the year so far

Asprin sikuwezi....

I am speechless, na ni kweli bia inaongeza maarifa
 
Sikukuuu hii bwana kumbe mnasherehekea kwa staili yenu! Happy sikukuu yenu!
Hebu wasubilie TP MAZEMBE wakupe zawadi wako lidawa!
 
haha haa raaaa... weekend hii ni tofauti kabisa na nyingine, pia imeanza kwa mbwembwe...
 
WanaJF wanaotongoza wajukuu zangu kwa PM, hamjui nina pasiwedi za wajukuu wangu? Nawasikitikia sana.....nawajueni, iko siku ntawarusha hewani.

WanaJF wanaotumia ID na avatar za kike kumbe ni midume ya mbegu.....lengo lenu ni nini hasa?

Wana JF wanaokipinga chama chetu thabiti ISC- Sharing Is Caring

Wajukuu ambao bado hawajaja kwa babu kukaguliwa....yatkayowatokea shauri lenu..... njooni niwafanyie ukaguzi

Mashabiki wote wa Yanga ya Ilala, kwa kushabikia litimu libovu, kwanini msiishabikie klabu bingwa ya Tanzania?

Mashabiki wote wa Chelsii... kwa kufurahia kununuliwa kwa Torres Sick kwa bei ya Mitambo ya Dowans.

Wana JF ambao hawakupiga kura mwaka jana.....mgao wa umeme usingekuwepo

Wana JF wanaomega wake za wenzao......majinga sana nyie

Wajukuu ambao hawanitumii mimi Asprin wanapopata maumivu au ndugu yangu klorokwini kuondoa wadudu wa malaria wanaowanyefuanyefua.

Wale wote ambao hawaamini kuwa kitimoto kinaongeza CD4 mwilini, na kutokuamini kwao kunasababisha foleni kubwa kwa babu Loliondo.

Wale wote ambao hawaamini kuwa bia inaongeza maarifa, inaleta ujasiri, inaongeza damu mwilini, inaongeza kipato cha serikali na kuongeza kipaji cha kuongea kiinglishi.

Mwisho kabisa....we Dena Amsi kwa kutaka kuwafanya wajinga wanaMMU ambao mimi ndiyo mkurugenzi wao.....unamtishia nyau wakati una aleji na panya?


Nyie wooote hapo nawatakieni heri ya siku kuu yenu!....Msinikaribishe pilau lenu.

Babu wa wajukuu wa kike anarudi kitandani kulala.

(Imetolewa na uongozi wa Chama Cha Wasio Wajinga, JF Makao Makuu)
Kumbe mimi simo..............mimi sio Mjinga!!
 
Wewe inaonyesha jinsi sikukuuu hii ya leo ulivyo mjinga.Ladba ukienda kwa babu leo jangwani akili itakurudia sawasawa la sivyo mwaka mzima utakuwa mjinga.
 
Wewe inaonyesha jinsi sikukuuu hii ya leo ulivyo mjinga.Ladba ukienda kwa babu leo jangwani akili itakurudia sawasawa la sivyo mwaka mzima utakuwa mjinga.

Samahani sikukutaja kwenye listi

lakini hongera hivyohivyo
 
Back
Top Bottom