Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,352
WanaJF wanaotongoza wajukuu zangu kwa PM, hamjui nina pasiwedi za wajukuu wangu? Nawasikitikia sana.....nawajueni, iko siku ntawarusha hewani.
WanaJF wanaotumia ID na avatar za kike kumbe ni midume ya mbegu.....lengo lenu ni nini hasa?
Wana JF wanaokipinga chama chetu thabiti ISC- Sharing Is Caring
Wajukuu ambao bado hawajaja kwa babu kukaguliwa....yatkayowatokea shauri lenu..... njooni niwafanyie ukaguzi
Mashabiki wote wa Yanga ya Ilala, kwa kushabikia litimu libovu, kwanini msiishabikie klabu bingwa ya Tanzania?
Mashabiki wote wa Chelsii... kwa kufurahia kununuliwa kwa Torres Sick kwa bei ya Mitambo ya Dowans.
Wana JF ambao hawakupiga kura mwaka jana.....mgao wa umeme usingekuwepo
Wana JF wanaomega wake za wenzao......majinga sana nyie
Wajukuu ambao hawanitumii mimi Asprin wanapopata maumivu au ndugu yangu klorokwini kuondoa wadudu wa malaria wanaowanyefuanyefua.
Wale wote ambao hawaamini kuwa kitimoto kinaongeza CD4 mwilini, na kutokuamini kwao kunasababisha foleni kubwa kwa babu Loliondo.
Wale wote ambao hawaamini kuwa bia inaongeza maarifa, inaleta ujasiri, inaongeza damu mwilini, inaongeza kipato cha serikali na kuongeza kipaji cha kuongea kiinglishi.
Mwisho kabisa....we Dena Amsi kwa kutaka kuwafanya wajinga wanaMMU ambao mimi ndiyo mkurugenzi wao.....unamtishia nyau wakati una aleji na panya?
Nyie wooote hapo nawatakieni heri ya siku kuu yenu!....Msinikaribishe pilau lenu.
Babu wa wajukuu wa kike anarudi kitandani kulala.
(Imetolewa na uongozi wa Chama Cha Wasio Wajinga, JF Makao Makuu)
WanaJF wanaotumia ID na avatar za kike kumbe ni midume ya mbegu.....lengo lenu ni nini hasa?
Wana JF wanaokipinga chama chetu thabiti ISC- Sharing Is Caring
Wajukuu ambao bado hawajaja kwa babu kukaguliwa....yatkayowatokea shauri lenu..... njooni niwafanyie ukaguzi
Mashabiki wote wa Yanga ya Ilala, kwa kushabikia litimu libovu, kwanini msiishabikie klabu bingwa ya Tanzania?
Mashabiki wote wa Chelsii... kwa kufurahia kununuliwa kwa Torres Sick kwa bei ya Mitambo ya Dowans.
Wana JF ambao hawakupiga kura mwaka jana.....mgao wa umeme usingekuwepo
Wana JF wanaomega wake za wenzao......majinga sana nyie
Wajukuu ambao hawanitumii mimi Asprin wanapopata maumivu au ndugu yangu klorokwini kuondoa wadudu wa malaria wanaowanyefuanyefua.
Wale wote ambao hawaamini kuwa kitimoto kinaongeza CD4 mwilini, na kutokuamini kwao kunasababisha foleni kubwa kwa babu Loliondo.
Wale wote ambao hawaamini kuwa bia inaongeza maarifa, inaleta ujasiri, inaongeza damu mwilini, inaongeza kipato cha serikali na kuongeza kipaji cha kuongea kiinglishi.
Mwisho kabisa....we Dena Amsi kwa kutaka kuwafanya wajinga wanaMMU ambao mimi ndiyo mkurugenzi wao.....unamtishia nyau wakati una aleji na panya?
Nyie wooote hapo nawatakieni heri ya siku kuu yenu!....Msinikaribishe pilau lenu.
Babu wa wajukuu wa kike anarudi kitandani kulala.
(Imetolewa na uongozi wa Chama Cha Wasio Wajinga, JF Makao Makuu)