Hongera Dr. Mwakyembe, hongera TRC

Naomba niseme kuwa Serikali imechelewa kuanza huduma hii kwa miaka takribani 30 iliyopita na kwa kweli hakuna cjha kupongezwa mpaka kutakapopatikana uhusano wa uhakika kati ya kupungua kwa msongamano wa magari dar na uwepo wa treni ya jiji.tuliotembea kwenye baadhi ya majiji au nchi zingine tunafahamu maana ya treni ya jiji ni nini ,hii ni igizo tu! hawa watu hawana jipya!time will tell!
 
Kinacho wauma humu ndani mamluki na wanazi wa cdm, ni kuona utekelezaji wa ahadi za jk, ndio maana wanachangia mpaka povu linawatoka. Ukichukulia uanzishaji wa hii treni + Uanzishaji wa boti ya Bagamoyo - Tegeta - Posta mpya + mabasi yaendayo kasi, hapo foleni itakuwa historia. Hongera JK Mungu akubariki sana


UKIWA UNACHUKUA KODI ZA WATANZANIA kwa miaka 50 kufanya jambo moja jema inakuwa mtaji wa kisiasa.wenzetu Kenya sasa hivi wana flyovers ambazo zingetusaida zaidi.
hivi pale Ubungo malori yale yanayosafiri kwenda nje ya nchi na pale Tazara foleni yanayosababisha yatamalizwa na treni ya Mwakyembe?Leo imekuwa hoja ya kumpongeza dhaifu na Mungu kweli ambariki kwa kusababisha serikali kushindwa kesi ya rafiki yake Mzee wa Dowans na kukubali haraka kuilipa
 
Tiketi+zikikatwa+ndani+ya+treni.JPG

Chombo+kikichanja+mbuga+kuelekea+mjini.JPG

Kwa+usafiri+wenye+utulivu+kama+huu+kwanini+usijisomee+kwenye+treni..%21.JPG

Tiketi+zikikatwa+nje+kituoni.JPG
 
Kinacho wauma humu ndani mamluki na wanazi wa cdm, ni kuona utekelezaji wa ahadi za jk, ndio maana wanachangia mpaka povu linawatoka. Ukichukulia uanzishaji wa hii treni + Uanzishaji wa boti ya Bagamoyo - Tegeta - Posta mpya + mabasi yaendayo kasi, hapo foleni itakuwa historia. Hongera JK Mungu akubariki sana

Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Teh! Teh! Vipi ile ya computer kila shule ya msingi na kuijeuza kigoma kuwa Dubai ya Africa?
 
niongezee na kwenye majembe yule mkuu wa historia mpya ya muungano wetu ndiyo nani vile?ule nao ni ubunifu wa Awamu ya Nnne!Zimbabwe na wapi na wapi?karamu mbili zilimshinda fisi, hawa hawana tena mwelekeo wanashika hili, lile ,ovyo ovyo na bila mkakati ili kuzubaisha mabwege!nasikia mmojawapo katunga riwaya ikiitwa Pepo ya Mabwege!
 
Kweli wajinga ndio waliwao.Hivi treni,boat na mabasi ndio shibe.Kazi kweli.Ulaya wana vyote hivyo lakini maisha hogojogo.Amka wewe,mbona umelala?Hilo ni changa la macho.
Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Teh! Teh! Vipi ile ya computer kila shule ya msingi na kuijeuza kigoma kuwa Dubai ya Africa?
 
Hawa jamaa wa mawingi ni wanafiki watupu wala hawana lolote. Yao ni porojo tu. Nawasubiri wamwandalie Birthday party Mwakyembe kama kawaida yao!!!!!
 
Mods, this is ABSURD..seriously,..jana mtu huyu huyu, mada ile ile, content ya KIPUUZI vile vile, what is this?
Huku ni kujaza thread humu JF kusikokuwa na maana!
Pls, fanyieni kazi mambo haya!.....

Upuuzi mbaya zaidi ni kuendelea kuwepo mahali usipostahili. Soma vizuri threads zenyewe na utagundua tofauti.

Kama mtu una allergy na pongezi kwa CCM , ipongeze CHADEMA kwa kuilazimisha CCM kufanya kazi yake, you will definately feel better.
 
Mkuu, muwe mnasoma kabla ya kuanza KUULIZA jambo ambalo limejadiliwa. Kuna picha na Video hapo ya Youtube. Kama unatumia Mchina kusoma JF, basi nakupa pole na kusema SI KOSA LAKO.
Watanzania tuwe tunasoma. Kama hukusoma na hukuelewa, basi uliza.

Ukiangalia hiyo PICHA, ni Bus lililopo juu ya RELI. Sasa hizo Train zako za Mwakyembe zinatembelea wapi? Juu ya maji au angani? Au kwenye barabara tu? Au ukisikia TRAM unafikiri ni UMEME tu? Liangalie vizuri tena hilo BUS hapo juu, utaona kuwa hakuna waya wa UMEME hata mmoja. Litakuwa linatumia MAFUTA au GAS. Pia, Bus ni bei rahisi kuliko Train.

una point ambayo wengine hawaioni
 
duu mwakiembe kweli mungu alijua wewe ndie mkombozi wetu ukapona natunazidi kukuombea
hilo treni linavyo tutia mzuka mungu wangu
huyu ndie anatakiwa awe raisi atatuletea ndege kweli nimelipanda leo daaaaa kama mbele vile ubarikiwe kiongozi wetu
 

Attachments

  • 1350226732448242180421.jpeg
    1350226732448242180421.jpeg
    3.3 KB · Views: 32
kwa hiyo kwenda na kurudi shs 800 na ukifika hapo stesheni wengine wanapanda basi kuelekea makazini sh 200 nyingine kwenda na kurudi so tunazungumzia shs 1200 kwa siku ambayo ni shs 6000 kwa wiki, hapo hujala bado....si mchezo kweli bongo saivi ndio new york haswaa

Kwenye nauli wamechemsha. Nauli utafikiri hizo train ni mradi wa mtu binafsi
 
Mwakyembe alipoomba miezi sita ili treni iwe inafanyakazi, Clouds walimtukana sana, hasa Gerald Hando na PJ, leo eti wanamsifia.
Clouds acheni uzandiki na unafiki, NINAWACHUKIA




KWAN CLOUDS NAYO NI REDIO AU GAZETI LA SANI?
:confused2: :confused2:
 
mawaziri wengine waige mfano toka kwa mwakyembe, namuombea tena sana ATCL iweze kuruka tena.
 
mwakyembe alipoomba miezi sita ili treni iwe inafanyakazi, clouds walimtukana sana, hasa gerald hando na pj, leo eti wanamsifia.
Clouds acheni uzandiki na unafiki, ninawachukia

...isije kuwa walipokea milungula toka kwa wamiliki wa daladala, walete fitina "mbuzi", maanaake habari ya usafiri wa treni ilikuwa kama ngurumo ya simba marara kwa wamiliki wa daladala..!!
 
Back
Top Bottom