ndamo emmanuel
Member
- Sep 12, 2012
- 31
- 8
Maendeleo hayana chama sote wananchi tunampongeza!
kweli?mbona huku kwetu tabata fresh tuh mkuu??
pande za kawawa rd na ali hassan mwinyi nahisi foleni imeongezeka maana sio kawaida sasa sijui factor ya treni au kuna kitu kingine.....
:music: Baada ya miaka hamsini ya uhuru bado tu mnatuletea singo za aina hii?...
Pongezi ziwaendee CCM damu (Mwakyembe na Magufuli) kwa kutekeleza ilani ya CCM sasa yale maneno tuliyokuwa tunaambiwa kuwa CCM hawafai na wachafu yako wapi?
Magufuli na Mwakyembe wamethibitisha kuwa CCM ni safi na ina watu wasafi na posts nyingi humu ndani ya JF na hasa kutoka CHADEMA kuwaunga mkono zinathibitisha kuwa CCM wanapendwa na wa wana CDM
Pongezi ziwaendee CCM damu (Mwakyembe na Magufuli) kwa kutekeleza ilani ya CCM sasa yale maneno tuliyokuwa tunaambiwa kuwa CCM hawafai na wachafu yako wapi?
Magufuli na Mwakyembe wamethibitisha kuwa CCM ni safi na ina watu wasafi na posts nyingi humu ndani ya JF na hasa kutoka CHADEMA kuwaunga mkono zinathibitisha kuwa CCM wanapendwa na wa wana CDM
Pongezi ziwaendee CCM damu (Mwakyembe na Magufuli) kwa kutekeleza ilani ya CCM sasa yale maneno tuliyokuwa tunaambiwa kuwa CCM hawafai na wachafu yako wapi?
Magufuli na Mwakyembe wamethibitisha kuwa CCM ni safi na ina watu wasafi na posts nyingi humu ndani ya JF na hasa kutoka CHADEMA kuwaunga mkono zinathibitisha kuwa CCM wanapendwa na wa wana CDM
na waandishi wake kweli wamesomea au kama mimi?maana porojo zinakuwa nyingi kuliko hoja za maanaKWAN CLOUDS NAYO NI REDIO AU GAZETI LA SANI?
:confused2: :confused2:
na waandishi wake kweli wamesomea au kama mimi?maana porojo zinakuwa nyingi kuliko hoja za maana