Nangasu Werema: Royal Tour ya Tanzania sio Bongo Movie wala Nollywood. Royal Tour inalenga kuhamasisha Utalii Tanzania

pantheraleo

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
691
878
IMG_20220520_132210_816.jpg
Mkurugenzi wa miradi ya Wanawake laki moja na Balozi wa Utalii Tanzania Nangasu Werema, amesema Royal Tour ya Tanzania sio Bongo Movie wala Nollywood. Royal Tour inalenga kuhamasisha Utalii Tanzania na kuelezea sehemu zenye Vivutio vya Utalii ili kuongeza Utalii na fedha za Kigeni. Ameyasema hayo leo Tarehe 20 Mei 2022 wakati alipokuwa anaongea na Wanahabari Jijini Dar Es Salaam.

"Tupo hapa kwaajili ya kumpongeza Mwanamke shupavu mwenye Utanzania na Uzalendo Samia Suluhu Hassan. Watu walikuwa wanasema Mlima Kilimanjaro haupo Tanzania, Kutokana na Royal Tour sasa hivi Watu wamejua Mlima Kilimanjaro upo Tanzania". Amesema Nangasu

Amesema ile ni filamu maalum ya kutanganza Nchi, Tamaduni na Mira zake. Sio bongo Movie. Tutegemee Wageni wengi sana. Tumpongeze na tumuunge Mkono Rais Samia. Tanzania ni miongoni mwa nchi Tisa zianzon tangaza royal tour. Nyingine baadhi ni New Zealand, Israeli, Jordan, Peru, Mexico, Rwanda, Poland nk

Wakati wa kuitangaza Royal Tour, Rais Samia alikutana na benki ya dunia baada ya muda yatazaa matunda. Wameahidi kuisaidia Tanzania.

Royal tour imeleta Ushawishi kwa vijana. Wanaongeza Ubunifu katika bidhaa zao ili kuvutia Wageni

"Tanzania hakuna mkoa usio na Utalii. Kila mkoa una kivutio. Hata amani ya Tanzania ni Utalii. Nchi nyingine Watu wanaamshwa na Mabomu ila sisi Asubuhi tunaamshwa na Mkojo" Amesema Nangasu.

Mama kaimarisha Uhusiano wa Kimataifa. Alikutana na Makamu wa Rais wa Marekani. Meya wa New York alisema ataitangaza Vizuri Tanzania, ndege zitaanza kutoka Marekani hadi Tanzania moja kwa Moja.

Sasa hivi Royal Tour inaoneshwa kwenye Channel 350 dunia kwa kupitia amazoni

Nampongeza mama mbunifu Rais Samia

Amesema Wanawake laki moja wana mkakati wa kuzunguka nchi nzima kutembelea Vivutio vya Utalii na Kuvitangaza. Kila Mtanzania Mwanamke ulipo Tumuunge Mkono Rais Samia afanye makubwa zaidi.

=====

KAMPENI YA ROYAL TOUR

Bila kumumung’unya maneno, Royal Tour ni ubunifu na jitihada kubwa za kutangaza fursa za Italie na uwekezaji nchini ambazo hazijawahi kutokea tangu tupate uhuru takribani miaka 60 iliyopita.
Sote tunafahamu namna ambavyo nchi jirani zimekuwa zikitumia mabilioni ya pesa kutangaza utalii wao duniani huku Tanzania ikiachwa nyuma hadi kupelekea baadhi ya watu huko nje kulaghaiwa kuwa Mlima Kilimanjaro na hata Serengeti ziko nchi jirani na siyo Tanzania.

Lakini kwa kupitia ushiriki wake kwenye Royal Tour, Rais Samia amewezesha kuitangaza Tanzania kimataifa na kupeperusha bendera ya nchi.

Ni vyema kusisitiza kuwa Royal Tour siyo movie kama zile zinazotengenezwa Hollywood au Bollywood au Nollywood au Bongo movie. Royal Tour ni makala malumu inayotoa fursa ya kipekee na mahsusi ya kuitangaza Tanzania ulimwenguni kama kitovu cha utalii na uwekezaji duniani.

Wakati watu wengine wanakaa ofisini kwenye viyoyozi, Rais Samia alifanya kazi ngumu kuongoza kurekodiwa kwa documentary hii porini na hata kushinda bila kula wakati mwingine kuhakikisha kuwa nchi yake aipendayo sana ya Tanzania inatangazwa ulimwenguni.

Kama alivyosema Rais Samia mwenyewe, gharama ya kurekodi fiamu ya Royal Tour na kuitangaza duniani zimelipiwa na michango kutoka kwa wafanyabiashara mbalimbali nje na néant ya sekta ya utalii nchini.

Nikiwa kama mdau wa utalii, natoa pongezi za dhati kwa jitihada binais za Rais Samia na mchango mkubwa wa wafanyabiashara na taasisi mbalimbali nchini zilizofanikisha Royal Tour na kuipaisha Tanzania kimataifa duniani.

Ni makala maalum inayohusisha Wakuu wa Nchi waliopo madarakani ili kuzieleza nchi zao na kuzitangaza kimataifa katika sekta mbalimbali.

Kwa mujibu wa tarifa iliyotolewa hive karibuni na Bi. Zuhura Yunus, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Tanzania ni miongoni m’a nchi ya 9 kushiriki programu hii ya Royal Tour ambayo pia humpa nafasi kiongozi husika kuzindua makala hayo nchini Marekani, kupata nafasi ya mahojiano na vyombo vikubwa vya habari na kukutana na wadau mbalimbali wa biashara, utalii na uwekezaji ana kwa ana ili kuwavutia kuja nchini kuwekeza.

Nchi nyingine zilizoshiriki kampeni ya Royal Tour ni Jordan, New Zealand, Poland, Mexico, Ecuador, Peru, Israel, Rwanda na sasa Tanzania.

Sababu nyingine ya kutumia Marais walio madarakani kwenye programu hiyo ni kujenga imani kwa watazamaji, yaani watalii na wawekezaji.

Tayari filamu hii imefanikiwa kuitangaza Tanzania kimataifa na itaendelea kufanya hivyo kwa miaka mingi ijayo kwani imewekwa pia inapatikana katika mitandao mikubwa duniani kama Amazon na Apple TV na itaoneshwa katika channeli 350 nchini Marekani zinazowafikia Wamarekani zaidi ya milioni 200.

Katika siku zijazo, Tanzania linatarajia kupokea wawekezaji na watalii wendi katakana na jina la nchi yetu sasa kuwa gumzo duniani kupitia ushiriki wa Rais Samia kenye makala mazlumu ya Royal Tour.

Kama tulivyosema awali, lengo la taarifa yetu hii ni kumpongeza Rais Samia kwa uongozi wake wa kishujaa, kumtia moyo aendelee na jitihada zake na kumhakikishia kawa sisi Watanzania tuko pamoja naye bega kwa bega kukabiliana na changamoto za maendeleo chini.
 
huyu dada shida yake moja tu ni kuomba omba pesa.... yaani ukiwasiliana kidogo tu muda si muda anakwambia amekwama sehemu na hajabeba atm card mtumie tsh 20,000 au 50,000 au kapungukiwa kwenye simu hana mtumie kiasi flani. yaani hili ndo tatizo kubwa alilo nalo kwa kweli.
 
Angalizo: Royo Tua might become a feminist movement instead of a national pride!😆
 
huyu dada shida yake moja tu ni kuomba omba pesa.... yaani ukiwasiliana kidogo tu muda si muda anakwambia amekwama sehemu na hajabeba atm card mtumie tsh 20,000 au 50,000 au kapungukiwa kwenye simu hana mtumie kiasi flani. yaani hili ndo tatizo kubwa alilo nalo kwa kweli.
Kama huna pesa kausha, waache wenye nazo watoe.
 
Amesema Wanawake laki moja wana mkakati wa kuzunguka nchi nzima kutembelea Vivutio vya Utalii na Kuvitangaza. Kila Mtanzania Mwanamke ulipo Tumuunge Mkono Rais Samia afanye makubwa zaidi.

Tourism , Conservation, and Inequality: The Case of Tanzania



Tourism and conservation are major sectors in Tanzania that attract people from around the world to the country. A panel of experts from the College of African Wildlife Management at Mweka (CAWM), Tanzania will discuss the global versus local dynamics of tourism and conservation, including important considerations for the future.

Dr. Emmanuel Martin is Senior Lecturer and Ag. Deputy Rector at CAWM. He specializes in forest mammal ecology and modelling and protected areas planning and management.

Kokel Melubo is Senior Lecturer in Tourism, with research interests in tourism and community well-being, corporate social responsibility, the work of guides and porters, and Maasai indigenous knowledge.

Elizabeth Kamili, Senior Lecturer, has conducted research on protected area land management and is currently focused on environmentally sustainable tourism. Part of our Winter 2022 lecture series, "Engaging Global Inequality."

Source : BYU Kennedy Center
 
Duuh kumbe hiyo royo tulia sio filamu??

Amani nayo ni Utalii ?? Oi oi.

Royal Tour haiwezi leta watalii ina impact ndogo sana.

Mfano Rwanda walifanya Royal Tour mwaka 2018 mwaka huo walikua na watalii Milioni 1.7 mwaka uliofuatia yaani 2019 walikua na watalii milioni 1.6 kwa hiyo utaona kwamba hiyo Royal Tour ina faida sawa na hakuna.
 
Kwa sisi tulioko sekta ya utalii tunathamini sana mchango wa documentary hii.
Hii imelenga sana soko la Marekani ambapo ndipo watalii wengi nchi hutokea.

Muongozaji ni mtu anayeheshimika sana Marekani na kitu wengi hawakijui ndiye aliyefanikisha Rais wetu kukutana na M/rais Kamala Harris.

Sasa waliotegemea futuhi hawataelewa nina sema Nini (kwa sauti ya Kuhani Mwacha)😅
 
Mkurugenzi wa miradi ya Wanawake laki moja na Balozi wa Utalii Tanzania Nangasu Werema, amesema Royal Tour ya Tanzania sio Bongo Movie wala Nollywood. Royal Tour inalenga kuhamasisha Utalii Tanzania na kuelezea sehemu zenye Vivutio vya Utalii ili kuongeza Utalii na fedha za Kigeni. Ameyasema hayo leo Tarehe 20 Mei 2022 wakati alipokuwa anaongea na Wanahabari Jijini Dar Es Salaam.

"Tupo hapa kwaajili ya kumpongeza Mwanamke shupavu mwenye Utanzania na Uzalendo Samia Suluhu Hassan. Watu walikuwa wanasema Mlima Kilimanjaro haupo Tanzania, Kutokana na Royal Tour sasa hivi Watu wamejua Mlima Kilimanjaro upo Tanzania". Amesema Nangasu

Amesema ile ni filamu maalum ya kutanganza Nchi, Tamaduni na Mira zake. Sio bongo Movie. Tutegemee Wageni wengi sana. Tumpongeze na tumuunge Mkono Rais Samia. Tanzania ni miongoni mwa nchi Tisa zianzon tangaza royal tour. Nyingine baadhi ni New Zealand, Israeli, Jordan, Peru, Mexico, Rwanda, Poland nk

Wakati wa kuitangaza Royal Tour, Rais Samia alikutana na benki ya dunia baada ya muda yatazaa matunda. Wameahidi kuisaidia Tanzania.

Royal tour imeleta Ushawishi kwa vijana. Wanaongeza Ubunifu katika bidhaa zao ili kuvutia Wageni

"Tanzania hakuna mkoa usio na Utalii. Kila mkoa una kivutio. Hata amani ya Tanzania ni Utalii. Nchi nyingine Watu wanaamshwa na Mabomu ila sisi Asubuhi tunaamshwa na Mkojo" Amesema Nangasu.

Mama kaimarisha Uhusiano wa Kimataifa. Alikutana na Makamu wa Rais wa Marekani. Meya wa New York alisema ataitangaza Vizuri Tanzania, ndege zitaanza kutoka Marekani hadi Tanzania moja kwa Moja.

Sasa hivi Royal Tour inaoneshwa kwenye Channel 350 dunia kwa kupitia amazoni

Nampongeza mama mbunifu Rais Samia

Amesema Wanawake laki moja wana mkakati wa kuzunguka nchi nzima kutembelea Vivutio vya Utalii na Kuvitangaza. Kila Mtanzania Mwanamke ulipo Tumuunge Mkono Rais Samia afanye makubwa zaidi.

=====

KAMPENI YA ROYAL TOUR

Bila kumumung’unya maneno, Royal Tour ni ubunifu na jitihada kubwa za kutangaza fursa za Italie na uwekezaji nchini ambazo hazijawahi kutokea tangu tupate uhuru takribani miaka 60 iliyopita.
Sote tunafahamu namna ambavyo nchi jirani zimekuwa zikitumia mabilioni ya pesa kutangaza utalii wao duniani huku Tanzania ikiachwa nyuma hadi kupelekea baadhi ya watu huko nje kulaghaiwa kuwa Mlima Kilimanjaro na hata Serengeti ziko nchi jirani na siyo Tanzania.

Lakini kwa kupitia ushiriki wake kwenye Royal Tour, Rais Samia amewezesha kuitangaza Tanzania kimataifa na kupeperusha bendera ya nchi.

Ni vyema kusisitiza kuwa Royal Tour siyo movie kama zile zinazotengenezwa Hollywood au Bollywood au Nollywood au Bongo movie. Royal Tour ni makala malumu inayotoa fursa ya kipekee na mahsusi ya kuitangaza Tanzania ulimwenguni kama kitovu cha utalii na uwekezaji duniani.

Wakati watu wengine wanakaa ofisini kwenye viyoyozi, Rais Samia alifanya kazi ngumu kuongoza kurekodiwa kwa documentary hii porini na hata kushinda bila kula wakati mwingine kuhakikisha kuwa nchi yake aipendayo sana ya Tanzania inatangazwa ulimwenguni.

Kama alivyosema Rais Samia mwenyewe, gharama ya kurekodi fiamu ya Royal Tour na kuitangaza duniani zimelipiwa na michango kutoka kwa wafanyabiashara mbalimbali nje na néant ya sekta ya utalii nchini.

Nikiwa kama mdau wa utalii, natoa pongezi za dhati kwa jitihada binais za Rais Samia na mchango mkubwa wa wafanyabiashara na taasisi mbalimbali nchini zilizofanikisha Royal Tour na kuipaisha Tanzania kimataifa duniani.

Ni makala maalum inayohusisha Wakuu wa Nchi waliopo madarakani ili kuzieleza nchi zao na kuzitangaza kimataifa katika sekta mbalimbali.

Kwa mujibu wa tarifa iliyotolewa hive karibuni na Bi. Zuhura Yunus, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Tanzania ni miongoni m’a nchi ya 9 kushiriki programu hii ya Royal Tour ambayo pia humpa nafasi kiongozi husika kuzindua makala hayo nchini Marekani, kupata nafasi ya mahojiano na vyombo vikubwa vya habari na kukutana na wadau mbalimbali wa biashara, utalii na uwekezaji ana kwa ana ili kuwavutia kuja nchini kuwekeza.

Nchi nyingine zilizoshiriki kampeni ya Royal Tour ni Jordan, New Zealand, Poland, Mexico, Ecuador, Peru, Israel, Rwanda na sasa Tanzania.

Sababu nyingine ya kutumia Marais walio madarakani kwenye programu hiyo ni kujenga imani kwa watazamaji, yaani watalii na wawekezaji.

Tayari filamu hii imefanikiwa kuitangaza Tanzania kimataifa na itaendelea kufanya hivyo kwa miaka mingi ijayo kwani imewekwa pia inapatikana katika mitandao mikubwa duniani kama Amazon na Apple TV na itaoneshwa katika channeli 350 nchini Marekani zinazowafikia Wamarekani zaidi ya milioni 200.

Katika siku zijazo, Tanzania linatarajia kupokea wawekezaji na watalii wendi katakana na jina la nchi yetu sasa kuwa gumzo duniani kupitia ushiriki wa Rais Samia kenye makala mazlumu ya Royal Tour.

Kama tulivyosema awali, lengo la taarifa yetu hii ni kumpongeza Rais Samia kwa uongozi wake wa kishujaa, kumtia moyo aendelee na jitihada zake na kumhakikishia kawa sisi Watanzania tuko pamoja naye bega kwa bega kukabiliana na changamoto za maendeleo chini.
Tatizo wanawake wanapata nafasi za uongozi kwa kutumia tobo zao za chini siyo akili zao vichwani, ilo ndoyo tatizo kubwa sana
 
Mimi Nina fedha sio pesa na hanijui ndio maana anaekujua ingawa una pesa tu ndio maana anakuomba! Ungekuwa NGESE angekuomba makota!
Unajichanganya sana... Ila nlishakujibu nikamaliza. Hawezi kukuomba kitu ambacho huna sister. Na wanawake huwa hawaombani pesa. Wanawaomba wanaume tu😂. IMEISHA HIYO.
 
Back
Top Bottom