Hongera Dr. Mwakyembe, hongera TRC

...Imeanza leo Loli..ratiba ni kila siku kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 12 jioni (hapa nadhani wanahitaji ku-extend huu muda angalau mpaka saa 4 usiku)
Hakuna ratiba maalumu kuwa kila kituo inapita saa ngapi? Maana hapo inabidi kuvizia sasa which is not good.
 
Tunasubiri picha,labda kwenye blogs zitakuwepo maana waandishi walikuwepo asubuhi ya leo likianza safari
 
Tanzania bado sana kimaendeleo. kuna faida gani kuwa na kaportion ya huduma ya reli wakati nchi zima tunategemea usafiri huo. yaani wanaona bora warekebishe treni kwa dar halafu wengine huko wasubiri baadae. AMKA TANZANIA, hilo reli ni kwa usafiri wa dar wakati kuna mikoa mingi mengine hinashida hiyo. uchumi wetu umeshuka kwasababu ya reli kuwa chini! Viongozi tuliowaweka pale na kukaa kwenye sofa hapo bungeni wote hamna kitu kabisa, WHAT THEY THINK NIKUJIKATIA KWANZA WAO, HALAFU KWAKUWA KUNA USAFIRI WA BASI BASI RELI BAADAE!!!
 
We kweli Mgomba, ambao haufai hata kupikia hata kujengea kibanda! Kwani mawaziri wote, ikiwa ni pamoja na mwanaasha wako, wana job descriptions zao, lkn wanashindwa kuzitimiza!! Usikimbilie matusi, unazidi kujiaibisha! Over!

wewe unatumia kichwa chako kufugia nywele! brain memory yako ni 0.0005KB(Akili Mgando)! kila mtu akiwajibika ipasavyo katika eneo lake la kazi nchi yetu itasonga mbele!
 
Binafsi nazidi kumuombea kwa Mungu ampe maisha marefu ili atuletee maendeleo ya kweli watanzania.
Wish you all Lucky Dr. Harrison G. Mwakyembe, your efforts will be apprecieted forever
 
Tanzania bado sana kimaendeleo. kuna faida gani kuwa na kaportion ya huduma ya reli wakati nchi zima tunategemea usafiri huo. yaani wanaona bora warekebishe treni kwa dar halafu wengine huko wasubiri baadae. AMKA TANZANIA, hilo reli ni kwa usafiri wa dar wakati kuna mikoa mingi mengine hinashida hiyo. uchumi wetu umeshuka kwasababu ya reli kuwa chini! Viongozi tuliowaweka pale na kukaa kwenye sofa hapo bungeni wote hamna kitu kabisa, WHAT THEY THINK NIKUJIKATIA KWANZA WAO, HALAFU KWAKUWA KUNA USAFIRI WA BASI BASI RELI BAADAE!!!

Weka hapa mikoa unayoilinganisha na Dar kwamba inahitaji huo usafiri wa ndani. Em ipongezeni serikali yenu inapostahili, acheni lawama za ukewenza. CCM oyeeeee...itikia basi...
 
Mwakyembe alipoomba miezi sita ili treni iwe inafanyakazi, Clouds walimtukana sana, hasa Gerald Hando na PJ, leo eti wanamsifia.
Clouds acheni uzandiki na unafiki, NINAWACHUKIA

Hao ndio walivyo tumewazoea achana nao wachumia tumbo hawajui walitendalo na siku zao zinahesabika.
 
Hao jamaa (Clouds) fake sana,mambo yao kama watoto!
Mwakyembe alipoomba miezi sita ili treni iwe inafanyakazi, Clouds walimtukana sana, hasa Gerald Hando na PJ, leo eti wanamsifia.
Clouds acheni uzandiki na unafiki, NINAWACHUKIA
 
Weka hapa mikoa unayoilinganisha na Dar kwamba inahitaji huo usafiri wa ndani. Em ipongezeni serikali yenu inapostahili, acheni lawama za ukewenza. CCM oyeeeee...itikia basi...
CCM Ziiiiiiiiiiiiiiiiii... , Mwakyembe Oyeeeeeeeeeeee...
 
Basically Tunalipa Kodi ili wale wanaozitumia waweze kufikiria Vizuri na Kutuboreshea Maisha!! Tatizo Hata haki yetu Tunaonekana kuithamni kama ni favor!! Eh Mungu ibariki Tanzania!! Ila wazo langu dogo tu, Mimi ni Mtanzania Halisi ninachokiona huu Mradi unaweza kuwa sio endelevu kwa uwepo wa siasa ndani yake!! Hasa ile kutoafiki mapendekezo ya Nauli ya wataalamu ambayo yamezingatia hali Halisi ya Maisha!! na uendelevu wa hiyo biashara / Huduma. Hivyo kiwango cha TZS 400 Kwa trip Hakitoshelezi Hata Kidogo kuweza kujiendesha!! Count my word!!
 
Back
Top Bottom