Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Inawezekana part of the policy ikafaa kwa nchi kama yetu, sio lazima policy yote iwe feasible kwetu!Sioni namna BEE policy ya Africa Kusini inavyoweza ku-fit kwenye mazingira yetu, BEE inafaa Afrika Kusini kwa sababu za kihistoria! Tanzania hatuna siasa za Whites and Blacks! Kwa hiyo hatuhitaji "Black Economic Empowerment, BEE"