MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,224
- 22,305
Baada ya nchi nzima kushtushwa na hoja namba 5 kutoka kwenye hoja za CHADEMA kuhusu muswada wa sheria ya uchaguzi leo nimeona tukumbushane gharama tutazozilipa wananchi kwa ongezeko la wabunge wapya takribani 135. Kimsingi hoja namba 5 ni hoja yenye nia ovu.
Kwa sasa bunge zima la Tanzania lina wabunge wa kuchaguliwa na kuteuliwa 393 bunge zima. Wale wa kuchaguliwa ni 264. Kwa mujibu wa hoja namba 5 ni kuwa kila jimbo liwe na mbunge mwanamke na mwanaume, yaani wawili. Hii ina maana wabunge wa kuchaguliwa watakuwa 528. Hadi hapo kunakuwa na ongezeko la wabunge 135 kwa idadi ya 393 ya sasa. Kwa mshahara wa Tsh 16.5m kwa mwezi kutahitajika Bilioni 134 kuwalipa wabunge wapya 135 kwa miaka mitano. Kwa mafao ya Tsh 250m basi zitahitajika bilioni 34 kuwalipa. Ongezeko hili litaambatana na kuongezeka kwa ruzuku kwa vyama vya siasa kwasababu hupata ruzuku kulingana na idadi ya wabunge. Kimsingi tutapigika sana kutafuta pesa za kuhudumia wanasiasa badala ya maendeleo.
Mimi namtupia lawama Mbowe kwa kuingiza ujasiriamali kwenye siasa bila kujali kuwa ni hatari kwa wananchi. Endapo hoja yake itapita basi kutakuwa na ongezeko kubwa la ruzuku kwenye chama anachomiliki kupitia wabunge watakaochaguliwa. Hoja namba 5 haikuwa ya bahati mbaya. Mr DJ alishapiga hesabu za mbali sana.
Kwa sasa bunge zima la Tanzania lina wabunge wa kuchaguliwa na kuteuliwa 393 bunge zima. Wale wa kuchaguliwa ni 264. Kwa mujibu wa hoja namba 5 ni kuwa kila jimbo liwe na mbunge mwanamke na mwanaume, yaani wawili. Hii ina maana wabunge wa kuchaguliwa watakuwa 528. Hadi hapo kunakuwa na ongezeko la wabunge 135 kwa idadi ya 393 ya sasa. Kwa mshahara wa Tsh 16.5m kwa mwezi kutahitajika Bilioni 134 kuwalipa wabunge wapya 135 kwa miaka mitano. Kwa mafao ya Tsh 250m basi zitahitajika bilioni 34 kuwalipa. Ongezeko hili litaambatana na kuongezeka kwa ruzuku kwa vyama vya siasa kwasababu hupata ruzuku kulingana na idadi ya wabunge. Kimsingi tutapigika sana kutafuta pesa za kuhudumia wanasiasa badala ya maendeleo.
Mimi namtupia lawama Mbowe kwa kuingiza ujasiriamali kwenye siasa bila kujali kuwa ni hatari kwa wananchi. Endapo hoja yake itapita basi kutakuwa na ongezeko kubwa la ruzuku kwenye chama anachomiliki kupitia wabunge watakaochaguliwa. Hoja namba 5 haikuwa ya bahati mbaya. Mr DJ alishapiga hesabu za mbali sana.