[h=2]
Re: Hoja ya Mkonge kuimaliza CCM Tanga - Zitto na Mnyika watikisa Korogwe[/h]
Sikonge, Saint Ivuga, Ng'wanza Madaso and 4 others like this.
Zitto alivamia ajenda ya Wabunge wa Majimbo ya Korogwe, kwa vyovyote vile alitegemea wangempinga. Angetaka afanikishe ajenda yake, ambayo kimsingi ni nzuri, angewahusisha wenzake wenye dhamana na majimbo hayo. Tatizo lilikuwa ni njia na wala siyo malengo (kama kweli alikuwa nayo, na kama alikuwa na nia ya kizalendo ya kutaka mafanikio kwenye hili). Kama alikuwa anafanya siasa, kama inavyojidhihirisha sasa, matokeo ndiyo hayo - kukumbana na upinzani na ushindani mkali!
Mimi binafsi nimejifunza: Hoja yangu binafsi ya uchimbaji dhahabu Nzega nliyoiwasilisha kwenye zaidi ya mikutano 5 ya Bunge haijawahi kupatiwa nafasi kwa visingizio visivyo na maana kwa vile tu ni ya kipambanaji na mimi niliifanya ni yangu binafsi, sasa nimeamua kuunganisha wadau wengi zaidi ili tushirikiane kuiweka sawa na kuiwasilisha tena. Na sasa nimeamua kuwasilisha hoja binafsi bungeni kuhusiana na ajenda ya 'ajira kwa vijana' lakini nitawashirikisha wabunge wenzangu vijana kabla ya kufanya hivyo ili tufanikishe upatikanaji wa ufumbuzi wa pamoja wa tatizo hili...
Mimi binafsi nimejifunza: Hoja yangu binafsi ya uchimbaji dhahabu Nzega nliyoiwasilisha kwenye zaidi ya mikutano 5 ya Bunge haijawahi kupatiwa nafasi kwa visingizio visivyo na maana kwa vile tu ni ya kipambanaji na mimi niliifanya ni yangu binafsi, sasa nimeamua kuunganisha wadau wengi zaidi ili tushirikiane kuiweka sawa na kuiwasilisha tena. Na sasa nimeamua kuwasilisha hoja binafsi bungeni kuhusiana na ajenda ya 'ajira kwa vijana' lakini nitawashirikisha wabunge wenzangu vijana kabla ya kufanya hivyo ili tufanikishe upatikanaji wa ufumbuzi wa pamoja wa tatizo hili...
Sikonge, Saint Ivuga, Ng'wanza Madaso and 4 others like this.
Dr. Hamisi Kigwangalla, MD, MPH, MBA
Mabadiliko ya kweli yataletwa na sisi...!
Ndugu yangu Kigwangala.
Maneno yako yanaweza kuwaponza Wahs Wabunge wenzako aw Tanga.
Zito na hiyo Mnyika unajua wamekwenda huko kwa Ustashi wa akina nani ?
Hivyo kwenda kwao huko ni SIASA au RUSHWA ?
Tafakari kwanza kabla ya kujiingiza ktk jambo usilolijua ki undani...!!!!!
Unamjua Shamte ?
Unamjua M/kt wa Bodi ya Mkonge ?
Unajua kwa nini mwaka 2012 Zito anautaka uwe mwaka wa MKONGE ?
Unaujua mkopo wa 10bl Uliokopwa kutoka Mfuko mmoja wa Pensheni ?
Unajua Bodi ya Mkonge ilivyotumia Hati zisizokuwa za kwao kujipatia mkopo huo ?
Ushawahi kumsikia Zito japo kwa dakika 3 kulisema shirika lililotoa mkopo huo kulinanga ?
Unajua jinsi pesa hizo zilivyotumika ?
Unajua Kwamba Mnyika kwa kwenda huko AMETOSWA ? (maskini hakujua kama alikuwa msindikizaji tu).
Na meeeeeengi mengine !!
Naomba uwasiliane na Mhe Nassir, Mhe Mtangi, Mhe Pamba, Mhe Maji marefu na Mhe Kitandula.
Bila ya kumsahau Mhe Maghembe (WZR Kilimo).
Nafikiri hao watakupa Majibu sahihi na kwa nini waliipinga hoja ya Zito.
Mabadiliko ya kweli yataletwa na sisi...!
Ndugu yangu Kigwangala.
Maneno yako yanaweza kuwaponza Wahs Wabunge wenzako aw Tanga.
Zito na hiyo Mnyika unajua wamekwenda huko kwa Ustashi wa akina nani ?
Hivyo kwenda kwao huko ni SIASA au RUSHWA ?
Tafakari kwanza kabla ya kujiingiza ktk jambo usilolijua ki undani...!!!!!
Unamjua Shamte ?
Unamjua M/kt wa Bodi ya Mkonge ?
Unajua kwa nini mwaka 2012 Zito anautaka uwe mwaka wa MKONGE ?
Unaujua mkopo wa 10bl Uliokopwa kutoka Mfuko mmoja wa Pensheni ?
Unajua Bodi ya Mkonge ilivyotumia Hati zisizokuwa za kwao kujipatia mkopo huo ?
Ushawahi kumsikia Zito japo kwa dakika 3 kulisema shirika lililotoa mkopo huo kulinanga ?
Unajua jinsi pesa hizo zilivyotumika ?
Unajua Kwamba Mnyika kwa kwenda huko AMETOSWA ? (maskini hakujua kama alikuwa msindikizaji tu).
Na meeeeeengi mengine !!
Naomba uwasiliane na Mhe Nassir, Mhe Mtangi, Mhe Pamba, Mhe Maji marefu na Mhe Kitandula.
Bila ya kumsahau Mhe Maghembe (WZR Kilimo).
Nafikiri hao watakupa Majibu sahihi na kwa nini waliipinga hoja ya Zito.