Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
Babra samahani natoka nje ya mada!
Unajua nakupenda hadi shetani anachukia? niko chini ya miguu yako (na macho nimeyafumba) naomba urudie lile jina lako la zamani, mwenzio napata shida kweli kukuzoea!!
(Ni ombi tu dada.....au ndo mambo ya mr anapendad lol kaizer vibaya hivyo-unadictate hadi jina!)
Ehee haya twambieni kwa nini hampeani shkamoo wewe na mwenzio?
kwa heshima yako nitalirudia dearest.....
mie bwana MJ1 nampaga tu "mambo baba mtoto"...au vipi nawamambia "mambo fulani"........nahic inamtosha bwana..