Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
- Thread starter
- #21
shikamoo ni mojawapo ya eshima
Kama shikamoo nimojawapo ya heshima mbona pale mwanamke anapokuwa mkubwa kuliko mumewe hapewi hiyo heshima ya shikamoo?
shikamoo ni mojawapo ya eshima
Mie nikiwahi kuamka namuuliza mwandani, hujambo bibie? Si unajua tena ikirudi ndio hivyo = sijambo, shikamoo! (haiwezi kuwa, sijambo, hujambo na wewe)! Kwi kwi kwi! Inaweza kukupa taabu lkn ni vijimbambo tu!kusema ukweli ukweli sijawahi kumuamkia mme wangu shikamoo,tukiamka asubuhi namuuliza umeamkaje ......
acha udaku!!!!!!!!!!!!!!!!!!
usiponiamkia nakusaidia kufungasha virago kukurudisha kwenu!! mbona wengine wakiamka wanabusiana? kwa sisi wengine kale kashikamoo kaasubuhi kana utamu kama wa busu hivi!
hii salamu ni noma kwanza mimi siifagilii kabisa hata kwa mtu aliyenizidi umri naona utumwa kumwamkia,mambo haya shkamoo,shkamoo hayafai kipindi hiki ni bora kabisa wataalam wa kiswahili watoe salamu ingine,kina mzee mwnkjj watatusaidia mimi niliacha siku nyingi kutoa shkamoo aisee nisiseme uongo,halafu iweje mtu mnalala kitanda kimoja mnaamka mnachangia mawazo yote ndani ya nyumba then eti akiamka akupe shkamoo kivipi?huu ni utumwa na haiko sawa kabisa na haki za bin adamu, kwa ujumla hiyo salamu imepitwa na wakati.Wakuu habari zenu!
Hili jambo limekuwa likinitatiza sana tena sana...Utakuta binti au mwanamke aliyeolewa anamwamkia mume wake eti kwakuwa mwaume ni mkubwa kiumri kuliko mkewe,mimi hii sielewi kabisa..What I know mke na mume ni mtu na rafiki yake tena ndio best friends na kwaninavyofahamu maana shikamoo naona haistahili kufanyika kwa wapendanao..mimi kwangu naona haina maana kabisa kumpa shikamoo mumeo hata kama amekuzidi miaka 40! Lakini kila kukicha nasikia watu wakiwaamkia waume zao..Jamani hivi hii imekaaje?je ni sawa?
duh na huku tena?ngoja nikamshtue bht.shikamoo muhimu hasa kama amempata kwa hela!! huyo hawezi kupata jeuri ya kulonga vingine
kwani ni nsiri kuwa majority hukimbilia wenye michuzi!!!!!!!!!!
........Shikamoo ya nini na wakati watu mnalalana.
Vipi tena mbona ume delete post yako? Ulinitukana nini?
......Wala sikukutukana kuna lugha kali nilitumia, maana kuna watoto hapa under age.
just imagine.... mmeshtuka usingizini 11 alfajiri na mnataka kucheza kale ka mchezo ka baba na mama, utaanza kwanza shikamoo au mtacheza kwanza? maana mkimaliza hilo zoezi la alfajiri ni bafuni na kuwahi kibaruani tena!
Gaijin lol inawezeka na maana mapenzi ni kitu cha ajabu sana.mwanajamii.......labda hicho kimwana kilikuwa chini ya miguu yake kwenye usiku wake ....teh teh teh