Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
shi ..shi shi.......ka mooooooooo!
Hiyo ni saa 11 alfajiri mmeanza kale kamchezo! kwi kwi kwi kwi
Hiyo ni saa 11 alfajiri mmeanza kale kamchezo! kwi kwi kwi kwi
In a serious tone....mpenzi kumwambia mwenza wake shikamoo ni uenda wazimu!
Yani inakuwaje vile!!! unakuwa safari unarudi anakwambia shikamoo au unaamka asubuhi sana, unapata kie cakula then ukitoka kitandani anakwambia shikamoo au???
Gkundi kuna ile shikamoo ya kiuchokozi yaani ya kuamsha hali flani hivi ya kuita (Unaelewa namaanisha nini hapa).
Hii ya mdada kusema 'shkang'' huku jicho kalilegeza, sauti ya puani na kidole anaking'atang'ata kama mtoto mwenye njaa ya maziwa!! na hii binti huitoa akiwa hajajitutika miguo miingi.
by the way Gender sensitiv - hapa una maanisha shikamoo kwa wote yaani kama ni mke ndo anastahili kuipata apate na kama ni mume vivyo hivyo au?
halafu wewe Babra hujajibu swali langu kule kwenye habari mchanganyiko, nenda kafanye hivyohainogi bwana......halafu MJ1 umenichekesha cna mbavu.
Shikamoo inapendeza sana ikitoka kwa mkeo kwani inaonyesha ile heshima yenyewe iliyopo baina ya wapenzi hao. Mimi binafsi pamoja na kwamba sijaanza kuipata lakini naitamani na kuipenda sana, i wish my wife to be so far unknown atakuwa ananipa shikamoo
it doesnt make any sense.
hainogi bwana......halafu MJ1 umenichekesha cna mbavu.
Namaanisha bra Kaizer ila nafuata sana ushauri wa Charity na BuchananBado hujaweza kufind hiyo unknown tu? Muda unakweda if you really mean it !
shikamoo ni mojawapo ya eshima
Sijui kuna mtu kamuamkia leo asubuhi luv? au kaamkia upande mzuri leo...lol
halafu wewe Babra hujajibu swali langu kule kwenye habari mchanganyiko, nenda kafanye hivyo
Wakuu habari zenu!
Hili jambo limekuwa likinitatiza sana tena sana...Utakuta binti au mwanamke aliyeolewa anamwamkia mume wake eti kwakuwa mwaume ni mkubwa kiumri kuliko mkewe,mimi hii sielewi kabisa..What I know mke na mume ni mtu na rafiki yake tena ndio best friends na kwaninavyofahamu maana shikamoo naona haistahili kufanyika kwa wapendanao..mimi kwangu naona haina maana kabisa kumpa shikamoo mumeo hata kama amekuzidi miaka 40! Lakini kila kukicha nasikia watu wakiwaamkia waume zao..Jamani hivi hii imekaaje?je ni sawa?
Sijui kuna mtu kamuamkia leo asubuhi luv? au kaamkia upande mzuri leo...lol
itakuwa vyote viwili luv....lol
Hapo umesema kweli shikamoo kwa mpenzi au mume halileti maana, ni kujinyenyekeza tu kwa hawa viumbe ambako kwingine hakuna sababu
Babra samahani natoka nje ya mada!
Unajua nakupenda hadi shetani anachukia? niko chini ya miguu yako (na macho nimeyafumba) naomba urudie lile jina lako la zamani, mwenzio napata shida kweli kukuzoea!!
(Ni ombi tu dada.....au ndo mambo ya mr anapendad lol kaizer vibaya hivyo-unadictate hadi jina!)
Ehee haya twambieni kwa nini hampeani shkamoo wewe na mwenzio?
We kaizer na mkeo hebu acheni umbeya mtasutwa lol.... eti kuna aloniamkia ah
Mie hata cjui leo imekuwaje nimeamka na furaha ka mdudu!!